Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwenye dash board ya gari, ukiangalia geji ya mafuta hua kuna kamshale flani kwenye ka alama ka tank ya mafuta. Kwa wengi tusiofahamu, ama either umeazima gari ya mtu au gari ni mpya. Kale kamshale hua kanaelekeza direction ya tanki la mafuta lipo upande gani WA gari.
IMG_20220313_101721.jpg
 
Mabaharia tu ndiyo tunaelewa haya matumizi kama huelewi mkuu tambua wewe siyo baharia na kama ungependa kuwa baharia basi fuata taratibu upate usajiri rasmi kwenye chama letu au mtafute lemutuz au le mubebez atakupa taratibu za namna ya kujisajiri
Hahaaaaaa, nshatoka stage hiyo. Halafu kwa Nini uzitupe rasilimali asili wakati Kuna sehemu zahitajika! Hiyo dawa ya kansa
 
Kwenye dash board ya gari, ukiangalia geji ya mafuta hua kuna kamshale flani kwenye ka alama ka tank ya mafuta. Kwa wengi tusiofahamu, ama either umeazima gari ya mtu au gari ni mpya. Kale kamshale hua kanaelekeza direction ya tanki la mafuta lipo upande gani WA gari. View attachment 2148672
Asante mkuu. Siku nikinunua ndinga hii habari itanisaidia
 
Kwenye dash board ya gari, ukiangalia geji ya mafuta hua kuna kamshale flani kwenye ka alama ka tank ya mafuta. Kwa wengi tusiofahamu, ama either umeazima gari ya mtu au gari ni mpya. Kale kamshale hua kanaelekeza direction ya tanki la mafuta lipo upande gani WA gari. View attachment 2148672
Nimejifunza kitu kipya
 
Back
Top Bottom