Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Huyo siwezi kumuongelea hivyo,ni mtoto wa dada yangu kabisa. Kuna muda na mimi najikuta navizia picha zake humu ezi ifu sio mwanangu... Jf shwaini kabisa[emoji1][emoji1][emoji1]
Picha zake zinahitaji timing kali ajabu. Mi nilishabahatishaga moja tu na nimeilamineti na kuikuza ipo hapa sebuleni Misungwi. Kama una nyingine huko nikumbuke na mie shemeji! [emoji16][emoji16]
 
Kwema kabisa Anko, sijui nyie huko. Nimekumbuka aunt alivyotishia kufunika ungo akukomeshe na kigugumuzi chako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ule ujinga sikuurudia tena,miaka kumi na...imepita sasa.
Namshukuru Mungu amenipa rafiki wa kisukuma.
Tupo vizuri wote mamaangu
 
One of the best power couples I know. Yaani kuoa au kuolewa na Msukuma ni mibaraka tosha mwanzo mwisho [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Kama vile kuoa/kuolewa na mnyaki. Si unamuona Anko wangu katulia tuli? Karibu sana Uyole Mtumishi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…