Huyo siwezi kumuongelea hivyo,ni mtoto wa dada yangu kabisa. Kuna muda na mimi najikuta navizia picha zake humu ezi ifu sio mwanangu... Jf shwaini kabisa
Picha zake zinahitaji timing kali ajabu. Mi nilishabahatishaga moja tu na nimeilamineti na kuikuza ipo hapa sebuleni Misungwi. Kama una nyingine huko nikumbuke na mie shemeji!
Picha zake zinahitaji timing kali ajabu. Mi nilishabatishaga moja tu na nimeilamineti na kuikuza ipo hapa sebuleni Misungwi. Kama una nyingine huko nikumbuke na mie shemeji!