Selfika na JF: Snap it. Show it

Will do 😊😉

😆😆😆 Na hilo joto linavyoshawishi kunywa vitu baridi sio poa kabisa!!!

Ila ishu ya jioni unaweza ukawa unakula matunda ukirudi tu nyumbani ili muda wa chakula ukifika usiwe na njaa sana. Pia mchana....matunda yapo mengi sana sasa hivi, badala ya kuskip jumla...kula hata kaembe/ndizi/nanasi huko mizungukoni kuepuka hako ka bad habit.🙂
 
Ooh Thanks for the helpful advice !
Joto hili balaa, unaona kabisa hapa lazima nipate kinywaji baridi .

Nitajitahidi kupunguza kula ovyo hasa nyakati za jioni ...matunda yanasaidia sana japo kuzingatia kila siku ndo shida hapo .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…