Sehemu moja inaitwa Nyamigongwa. Ukiwa unatoka Misungwi mjini barabara kuu upande wa kulia kuna kipori pori hivi ndo jamaa mmoja ameamua kuwekeza huko.
Nalima dengu na nyanya huko na ukiulizia kwa Mzee Shimba Mathias mkulima wa dengu utanipata bila wasiwasi. Karibu sana kiongozi!
Sehemu moja inaitwa Nyamigongwa. Ukiwa unatoka Misungwi mjini barabara kuu upande wa kulia kuna kipori pori hivi ndo jamaa mmoja ameamua kuwekeza huko.
Nalima dengu na nyanya huko na ukiulizia kwa Mzee Shimba Mathias mkulima wa dengu utanipata bila wasiwasi. Karibu sana kiongozi!