Selfika na JF: Snap it. Show it

Sijapata vocha yoyote Mimi na Wala sikuona.
Hebu niambie,unataka nikaibe wapi sasa?
Wewe siyo wa kuiba mdogo wangu
Ngoja nitakuita mida mida kwa sasa bado ninelala
Ila naomba umwambie mama mchungaji Heaven Sent hajafanya fair kabisa mimi nimejitahidi kumuomba aselfike akasubiri nimesinzia ndo anaselfika hapa yaani nimeumia kweli kuikosa hiyo piacha alafu inavyosifiwa sasa😭😭😭
 
Sikuona Jana mmeona mda huu asubuhi!!nakupendaga sana halafu sana my binamu thank you for this sio wa kwangu na kwa wengine umewaponya!ahsante rafiki I always appreciate you honey!Love yuuu sana
 
Hayo maombi Kwa HhS nitayafanya nikipata vocha.. ikiwezekana nitakupa picha yake🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…