Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,433
Kuna muda mtu unapendwa Hadi unajiuliza hivi kwanini muda wote ulipoteza na manguruwepori huko wakati Kuna watu wanajua kupenda jamani.
Aisee huyo nguruwe pori wako habari imfikie.
Nakumiss sana na ninakuwaza dada..
Nisamehe,nilipita for some hours j2..nikawaza nikutafute lakini nikakosa confidence .View attachment 2143391View attachment 2143393
Hahahaaaa. Unapendwa haswaaaaa mkwe wangu. Mie naelekea kuwa singo nimechokaaaaakama kupendwa napendwa kimebaki nini hapa duniani?!!!nimeyapatia haswaaa!!!natamani dunia ijue yooote na haswaaa ex wangu yule ngurue poriii!!!!!!!!
Ndio kwanza kila siku namdis na pombe zake
Oooh shem!Dogoonakumis sanaaa!!!!mnooooo!!!uko busy nawadaiz!!
Eehh!!!alidhani sitapendwa tena!!!!sasa napendwa mpk naogopa atii!!afu nanenepaa mnooo!!!!
Yale maguruwe pori yatakuwa yanaona wivu tu ninavyokula Bata hapa duniani
Super woman nakuona kwenye ubora wako😋😋😋
Yah ni kweli mkuuManguruwepori hayo yalishamaliza kazi yaliyotumwa kuifanya - kukuandaa na kukuweka tayari. Usingekuwa hivyo ulivyo leo bila ya hayo manguruwe pori. Ungewezaje kuujua upendo wa kweli bila kupitia kwa hayo manguruwe pori? Almasi yawezaje kuwa yenye thamani, imara na yenye kung'ara sana bila kupita katika moto mkali na mgandamizo wa kutisha?
Uko sahihi kabisaa shemeji yangu!!kila jaribu lina funzo kuubwa sana!ndo maana ktk maisha yangu sijawahi juta ktk mahusiano!naimani shilling ina pande mbili!Hayo "manguruwepori" hayo yalishamaliza kazi yaliyotumwa kuifanya - kukuandaa na kukuweka tayari. Usingekuwa hivyo ulivyo leo bila ya hayo manguruwe pori. Ungewezaje kuujua upendo wa kweli bila kupitia kwa hayo manguruwe pori? Almasi yawezaje kuwa yenye thamani, imara na yenye kung'ara sana bila kupita katika moto mkali na mgandamizo wa kutisha?
Wanaume leo tumeitwa nguruwepori - jina baya kabisa na lenye kudhalilisha sana dah! Wanaume tunakwama wapi?
Wasikie walipooKuna muda mtu unapendwa hadi unatamani utangaze
Nguruwepori popote mlipo Aloo Huku mambo ni moto nyie
.....
Yaani sijui hata najiteteaje
Ngoja Heaven Sent atakuja kunisaidia
Nyie msitume vocha naanza kupika ntakosa jamani@Mahonda,elly na mjep na Leo mmechalala balaaa
Hahahaaaa. Unapendwa haswaaaaa mkwe wangu. Mie naelekea kuwa singo nimechokaaaaa
kama kupendwa napendwa kimebaki nini hapa duniani?!!!nimeyapatia haswaaa!!!natamani dunia ijue yooote na haswaaa ex wangu yule ngurue poriii!!!!!!!!
Wasikie walipoo
Huna pa kujitetea in short una tabia mbayaa!!staki mtu akuteteeee
Naam mkuu! Kila mtu anayepita maishani mwetu ana kazi yake. Ukilitambua hili hutamng'ang'ania mtu abakie maishani mwako ilhali pengine kazi aliyotumwa kuitimiza keshaimaliza. Yote ni kumshukuru Mungu tu na kusonga mbele.Yah ni kweli mkuu
Sometimes mtu anapita sehemu ili kuandaliwa kupokea yaliyo mema.
Wengi huwa hawajui,,,kumbe Mungu anaandaa mtu aweze kuwa bora kabla hajapokea kilicho bora,maana ukipokea kilicho bora mapema kabla hujajiandaa nankugundua kuwa ni bora pengine usingekithamini kama unavyokithamini ulipopokea Kwa wakati sahihi.
Hadi mwenyewe amesema hivyo ujue anajua kama anawazausikute hata hawazi kama alikuwa na mtu...
Tupunguze hasira...maisha ndo haya haya...
Oooh shem!
Msamehe tu na kumwachilia huyo Msukuma boya. Unafikiri hata huko aliko ana amani basi? Si ajabu anapambana na "manguruwe pori" mpaka anaomba poo. Kuna wenza wa kweli ukiwapoteza maishani basi ndo imekula kwako mazima. Yanabakia majuto tu...Ilishanitokea shem na inauma sana!
Wewe ponda raha na Nshomile wako na senene zake za Italy. Maisha menyewe mafupi ati!