Selfika na JF: Snap it. Show it


Hayo "manguruwepori" hayo yalishamaliza kazi yaliyotumwa kuifanya - kukuandaa na kukuweka tayari. Usingekuwa hivyo ulivyo leo bila ya hayo manguruwe pori. Ungewezaje kuujua upendo wa kweli bila kupitia kwa hayo manguruwe pori? Almasi yawezaje kuwa yenye thamani, imara na yenye kung'ara sana bila kupita katika moto mkali na mgandamizo wa kutisha?
 
Dogoo
nakumis sanaaa!!!!mnooooo!!!uko busy nawadaiz!!
Eehh!!!alidhani sitapendwa tena!!!!sasa napendwa mpk naogopa atii!!afu nanenepaa mnooo!!!!
Oooh shem!

Msamehe tu na kumwachilia huyo Msukuma boya. Unafikiri hata huko aliko ana amani basi? Si ajabu anapambana na "manguruwe pori" mpaka anaomba poo. Kuna wenza wa kweli ukiwapoteza maishani basi ndo imekula kwako mazima. Yanabakia majuto tu...Ilishanitokea shem na inauma sana!

Wewe ponda raha na Nshomile wako na senene zake za Italy. Maisha menyewe mafupi ati!
 
Yah ni kweli mkuu
Sometimes mtu anapita sehemu ili kuandaliwa kupokea yaliyo mema.

Wengi huwa hawajui,,,kumbe Mungu anaandaa mtu aweze kuwa bora kabla hajapokea kilicho bora,maana ukipokea kilicho bora mapema kabla hujajiandaa nankugundua kuwa ni bora pengine usingekithamini kama unavyokithamini ulipopokea Kwa wakati sahihi.
 
Uko sahihi kabisaa shemeji yangu!!kila jaribu lina funzo kuubwa sana!ndo maana ktk maisha yangu sijawahi juta ktk mahusiano!naimani shilling ina pande mbili!
 
Naam mkuu! Kila mtu anayepita maishani mwetu ana kazi yake. Ukilitambua hili hutamng'ang'ania mtu abakie maishani mwako ilhali pengine kazi aliyotumwa kuitimiza keshaimaliza. Yote ni kumshukuru Mungu tu na kusonga mbele.

"Nguruwepori" hoyeee !!!
 
Shem wangu wa ukweli ahsante sana na ubarikiwe mnoo kwa maneno mazuri!
Ubarikiwe sana!nshasamehe nshasahau kwa sasa nakula kipupwee!!!maisha yanaendelea!!!yeye anahaha hukoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…