Tatizo linakuja pale ninapoweka picha ya handsome alafu,nakutongoza huku wewe ukiwa na imagination za jinsi avatar yangu ilivyo.. siku tunakutana mambo yanakuwa hivi
Kuna muda mtu unapendwa Hadi unajiuliza hivi kwanini muda wote ulipoteza na manguruwepori huko wakati Kuna watu wanajua kupenda jamani.
Aisee huyo nguruwe pori wako habari imfikie.
Nakumiss sana na ninakuwaza dada..
Nisamehe,nilipita for some hours j2..nikawaza nikutafute lakini nikakosa confidence .