Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ile ndo ilkua bombaaaah, ilinifanya na mie nikimbilie ktk katuni, na nashkuru nikaopoa km mawazo yangu yalivyotaka,

Itafute tena ile DP [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Kumbe picha inaweza kukukosesha na kukupatia mchumba eeh[emoji848][emoji848]

Naomba ukae kikao na Depal mnitafutie na Mimi picha Kali ya handsome boy niibandike ili na Mimi nianze kuwavua samaki[emoji39]
 
Haimpendezi hata [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Basi mwambie aweke hii
Si anasema anavaa miwani aone vizuri? Kwa macho haya Hana haja
Cc😡Depal
IMG_20220129_161901.jpg
 
Weuweeeeeeeeeeeeeeeeh. Shouzzzzz hii ya leoo umeuaaaaaaaaaah,
Tobaaaaaaaah sio kwa [emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95] hili, awwwwwwwwwwwh.
Mweeeeeh hii kiboko sasa lol [emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Nimechelewa, hebu nipe ka screenshot
 
Kumbe picha inaweza kukukosesha na kukupatia mchumba eeh[emoji848][emoji848]

Naomba ukae kikao na Depal mnitafutie na Mimi picha Kali ya handsome boy niibandike ili na Mimi nianze kuwavua samaki[emoji39]
Tena kuna chimbo hilo za handsome boys zimejaa kibao, ntakuletea usjar, ila vocha, maana inatakiwa bundle [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Badae nakuahidi selfiii hadi sura!...mida yetu usikose.....
Unajua nini..umeshanifanya kazi iwe ngumu,kila muda nitakuwa nachungulia huu Uzi mithili ya mtu anayesubiri meseji ya 'babe nimeshapanda bodaboda,nishuke kituo gani?' sasa old usinitag!!
 
Back
Top Bottom