Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
DuhUmeona uzi wa Edera ?
Hata kuzurura naanzaje
Natafuta mkate
Mapumziko
Ni selfika na kule kwa RRONDO
DuhUmeona uzi wa Edera ?
Hebu pita kushoto, tena sahivi ndo uzidishe hatua zaidi mbele
Ukweli kabisa
Nilikuwa nikiona comment like
Ama chochote kutoka kwako
Nilikuwa napita kushoto
Yaani hivi
But now aah tuwemo


1
Upo vyema rafikiwatu hao waongo tyuuh, usiwasikilize hata.
Wee tena ulivyo uchuna siku hizi, naona pension inakupa kiwewe, acha iishe kwan tuzungumze lugha 1.kuna mwamba anafaidi na anakojoa pazuri,jokes! Mjukuu mfanyie babu wepesi






Kwa rangi ileHebu pita kushoto, tena sahivi ndo uzidishe hatua zaidi mbele1
![]()

Ooh sawa ..
Naogopa isije vuja.. wadada wakaanza nitafuta bureee kama nyara ya taifa![]()



aaah wapi wee, mie sina huo muda wa kuvujisha niamini yaan. Au ficha sura zao bas.Ooh Asante rafiki ..Doooh!..uje uchukue zawadi yako
MuongozoOoh sawa ..
huo uzi upo MMU , mdada ameshauri mbinu kule na kutoa vitabu vya mwongozo .

Hebu niacheeeeh kwani,Kwa rangi ile
Mamaa mzagamuo
Ma style kama yote
Naanzaje kwa mfano![]()






Muamala tyuuh ndo kitu cha kufanya kwa mjukuu,Kausha basi kesho Sam Nujoma mapema kabisa na marundo kama yote...![]()




Umesema una udomo zege (siamini ila )..Muongozo
Kwamba nitakuwin vipi![]()
Sasa leo usilalale, mambo mazuri yanakuja. SoonUpo vyema rafiki
Eeh kama jana tuliolala mapema tumekuta makapi .
Kama saa ngapi hivi ?Sasa leo usilalale, mambo mazuri yanakuja. Soon
SAA 5 hivi yaan.Kama saa ngapi hivi ?
Ila sidhani kama nitabahatika kuona ...usingizi huu