Nitaulizia wataalamu wa Nguzo Camp wanielekeze halafu nitaanzia operesheni yangu ya kukusaka nikiwa hapo. Nikifika huko Kingolwila, Cate Hotel, soko la karibu na mzumbe na hilo la Kingalu na nyumba kadhaa za ibada mbona ntakudabua MamaMchungaji?
Maeneo haya nimeokoteza hapo juu we na mabaharia wenzio ndo mmeyataja. Moro kwa kweli sipafahamu kabisa mbali na kupita tu na gari moshi enzi za shule katikati ya miaka ya 60.