Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
Toka lini job ukawa na lindo
Toka lini job ukawa na lindo
Haya bwana!
Eeeenhhii enzi ukiwa la saba B?
Umesahau dadaToka lini job ukawa na lindo
Shkamoo autieHaya bwana!
Sio nimesahau lini jamaniUmesahau dada
Umeamua kunidanganya jamaniMie nimetulia na fito zangu, sina habari.
Kwa mwezi mara mbili au tatuSio nimesahau lini jamani
Utajiju.Home alone.. Kinyonge sana View attachment 1244548
Karibu sanaaa..Nakuja mimi pacha wake kwa niaba yake mkuu![]()
Mama wa FURSA, nakuona nakuona..Toka lini job ukawa na lindo
Marahaba. Hujambo mtoto mzuri ?Shikamoo mkuu


haina shida,nitafurahi sana ukiwa hivyo
Asante sana jamani
Mie muumini wa mirinda nyeusi na mishkaki mkuu![]()
Nilipoacha kidole nikahamia kwenye ulimi. Ila ulimi hadi leo nikijisahauEeeeeehhhh



Hiyo picha ulofuta irudishe haraka sana.Toka lini job ukawa na lindo