Ondoa hayo maua basi
Ondoa hayo maua basi
Umeniotea nshafundishwa kuweka maua!!!mwanzo nilikua naweka full pichaOndoa hayo maua basi
Umefika salama nyumbani?Akhsante kwa kuipokea kwa heshima zote
Kwa kweli mimi/sisi ni wazima wa afya kabisa tunashukuru MUNGU mpendwa
Yaani unavyonitesaga we acha tu
Weka full basi best leo tuuUmeniotea nshafundishwa kuweka maua!!!mwanzo nilikua naweka full picha
Haya Leo umeonaaYaani unavyonitesaga we acha tu
Kila nikivizia naambulia za uso
Weeh. Noop!ushaona!nasubiri bando langu nakudaiWeka full basi best leo tuu
Toa na hayo maua mkuu alaf unahesabu sekunde 3 unafutaWeeh. Noop!ushaona!nasubiri bando langu nakudai
NimepitwaaaaaqqHaya Leo umeonaa

Poleeeeee nkamu
Unanicheka?Poleeeeee nkamu
Namna ulivyojutia kupitwa haki imebidi nicheke mama mchungaji
Usimuangushe binam yako tafadhaliakuuhh
Usiombe kupitwa aiseeNamna ulivyojutia kupitwa haki imebidi nicheke mama mchungaji
Usiwaze reymage ameahidi kurudi na full
Ndiyo ndiyoUsimuangushe binam yako tafadhali
Si nilirudi ukawa umeshasepaHahaaa!!poleeee!binamu km Jana nilivokukosaa
Inaumaaa mnoooUsiombe kupitwa aisee
Binamu Leo Fanya baasi nasubiriNdiyo ndiyo