Smart Guy
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 6,880
- 7,022
Daah!! lugha gani hii tena, kichina au?mzee baba, zhige shi shenme zhongcai binguan?
Daah!! lugha gani hii tena, kichina au?mzee baba, zhige shi shenme zhongcai binguan?
Daah!! lugha gani hii tena, kichina au?
Weekend imeanzaView attachment 1243036
Distance relationship....!!! View attachment 1243019
Bukoba iyo MzeeEntebe?
Hahahaha kweli ww mkulimaView attachment 1242050
Miminimkulimaakachekasana
View attachment 1242050
Miminimkulimaakachekasana
Sijatapika,nimeamka nimekula tizi na breakfast na ndiyo wa kwanza kuingia kazini.
Ukiwa unakula popote matokeo yake ni haya. Sahani mbayaView attachment 1243182
Sijakosea sana
unatisha mkuuNishakwambia siku nyingi mkuu. Situmii pombeHaya yanaitwa matumizi mabaya ya nyama choma... Sasa ndio kinywaji gani icho unashushia
Kabisaa mdogo wanguHahahaha kweli ww mkulima