Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
EURGBP ina ujinga mwingi.. tuliluwa wote.. nimeifuta na kwenye list yangu..Hahaaaaaa. Mimi mpaka inafika saa 12 Asubuhi nilikuwa nimehold eurgbp tangu juzi. Hapo nilikuwa na loss ya Maana, ghafla saa nne naona imepinduka nkatoka fasta na small win. Naona inafanya retest
yasije tukutana ya KENZY 😀😀Wakubwa mnafaidi vyeupe
Nyerere alisema tatizo letu ni COMMITMENTS.Miji ya watu. Huku tunaambiwa mita 60
Mwibie na wewe,sachi pochi sepa hata na lipstick ngoma iwe droo😂Umeona wamekuja kuniibaaa 😭😭😭😭😭View attachment 2127813
Unavyojikutaga baunsa sasa, ngoja wakung'oe menoAma kweli wanawake wana nguvuu mimi huyu leo wa kuzungusha mimi huyuuu.. mimi huyu wa kucheza amapiano mimi huyuuu.. mimi huyu
ama kweli mimi huyu leo wa kukinjia mtu ngumi kwa mtu wa ghafla bin vuuu dah
Fashion killer
Najaribu mambo ya watu....Fashion killer
Yes ASAP Rocky killed this one
Hata kama nikisema nikushukuru
Kalikunja mtu wapi tena jamani🤣🤣🤣🤣
Selfika basi mama mchungajiKalikunja mtu wapi tena jamani🤣🤣🤣🤣
Ngoja nipashe misuri
Wewe sijawahi kuona selfie yako rafikiSelfika basi mama mchungaji
sie pia hatujawahi kuona selfika yakoWewe sijawahi kuona selfie yako rafiki