Kashaija72
JF-Expert Member
- May 18, 2020
- 2,522
- 5,576
Waiting for your pic madame ValentinaToa hiyo emoji kwanza
Waiting for your pic madame ValentinaToa hiyo emoji kwanza
Asee nilikuwa narefresh kila sekundedoh naona leo umeniwahi aseeh!
Mie tena wanijua sinaga shida katika hilo sharti utupie kwanza selfie yako nami natoa emoj !! Accepted??????Toa hiyo emoji kwanza
Shurti aselfike mwili eeh?kidogo sio sanaaa tena emoj sijaikuza kabisa mjue! Valentina akiselfikka natoa emoj! Asiselfike eti mkono ai mguu hapana Aselfike mwiliiiiii
Ndiwooooooooo! uzuri wanijua ma mtumishi Akitupia TU full fesiiiiiShurti aselfike mwili eeh?
😄😄😄😄 jirani sie yetu amani... furaha kwetu ni pumzi, ucheshi ni dawa.. upendo ni maisha yetu... 😎😎😎.. mwiko kumkwaza mtu 🚶🚶🚶🚶
😄😄😄😄😄 akiba haiozi jirani
hapohapooooooo ndo napataka.. nishaondoa emoj ujue bado kuklick enter tuHapo kwenye mwili sasaaa, teh
Kesho nitakucheki tunywe JDNiko Dar
🥒🥒 usisahu hii na maganda yake 😃😃 na ka kungu pembeni jirani..Mwiko kumkwaza mtuu jirani...
View attachment 2124379
Getting recovery from injuries...😉.
Halafu kuna hii....
Hot chocolate milk, carrot cake with asali pembeni.....😋😋😋😋.
Kesho mapemaa snJack Palladino hili lako hili hebu mrekebishie basii!!
😃😃😃😃.. kuyaacha sawa na kuidhulumu uhai nafsi yako.. haya ni kama built in 😋😋😋😋
kuna juice ya kungu jirani...
na kuna ule utulii ukiisikia tu harufu yake ( yaaani hooi alafu ni asili natural yaani) nisije utaja hapaa internet isije pata taabu...
haiwezekani haiwezekani raha ipo ndani na sio nje 😃😃😃😃
Nikienda mashariki ya kati nitakuletea karanga mwitu a.k.a Karanga za Israel... yaaani moto wakeeee.... 😋😋😋😋.. zinapdisha joto la nyamaaa paka basi.. huwezi kinai mlo.. utakula na utakula tena na ukizila utakula na kula tenaaa.. Jirani by 🙋♂️🙋♂️
mahaba na raha zake zipo kwenye lugha... na sauti tamuuu jiranii 😋😋😋😋Jiraaaniiiii......
Naanzajeeee.....
Kasinde mimiii ooiioooiiii naaanzajeeeee.....
Raha juu ya raha towers...😊.