Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
🤣🤣🤣🤣🤣Mimi wala simtambui mwambie ajitambulishe
🤣🤣🤣🤣🤣Mimi wala simtambui mwambie ajitambulishe
Inabidi tupitie hiyo mitaa ulipo kabla ya kwenda kule😂😂ewaaa kesho jumamosi 😀😀
Ilikua njema Shem za wewe na familia yetu?huku kwetu mvua tu mpk kero na hivi hakuna njia nzuri za kudhibiti majiSiku yako ilikwendaje shemeji langu la nguvu?
Bonge la movie yaan,,, Rasputin anapigana kama anachezaKwenye Movie : The King’s Man, Kuna wahuni wana getho lao eneo kama hilo, na wasuka mipango ya kufa mtu kusababisha vita ya dunia.
View attachment 2122130
Mtaachana tuMkuu. sikumpata hivi hivi ati.
Hiki ndicho nilifanya
Nilipiga goti kwa Mungu, dua ikafikaaa....
Haya maisha yangu, na pisi, akaaridhieee
Unanifaa sana pisi![]()
...Cause there is no body in the world like you!![]()
Mtag tu pekeyake
Nakuangalia tu![]()

Jamani wengine hatujalala na wake zetu
Jf kama jf hakuna mnywa togwa
Pale juu umetoka kutuambia hujalala na mkeo
Asee ngoja niwemkubwa 🤪🤪
Ipeperushe bendera
Murembo
