Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,761
unaandika kitu kile kile.. tunazunguka pale pale.. biblia ina side kadhaa.. ila major side ni Mungu.. minor side ni mwadamu. ingawa kuna side za hizoThe best way to see this book is as a literal, powerful description of the romantic and sensual love between a man and a woman, observing both their courtship and their marriage. It does not give us a smooth chronological story, beginning with the introduction of the couple to one another and ending with their married life together. Instead, it is a collection of βsnapshotsβ of their courting and married life, with the pictures not necessarily in order.
Amupiga mwingi sana mimi kupata pisiπ€£π€£π€£
Hivi Heaven Sent umempa nini Pep?
It's not clearNaona hapa tunazunguka mmbuyu
Nimesona theology kwa sehemu sijui kila kitu ila walimu wote hawajawai niachia utata kwenye hicho kitabu.. Upo sahihi na hao pia wapo sahihi kwa watu wao ambao walikuwa wanafundisha.. Point kubwa unaipima scripture kwa namba gani imejenga roho ya mtu mbele za Mungu.. kama haina ujengaji au picha ya Kristo kuumbika hiyo ni voidHzo ni baadhi ya quotes from commentator from different centuries wakielezea song of song verse ya kwanza,, the most accepted theory ni kwamba its among 1000+ songs of Solomon ambayo ni drama yenye ina character 3 maiden,, binti wa yerusalemu na mfugaji kondoo,,,ukisoma vizuri hasa kwa KJV utaona some verses are for "him" "her" na binti wa yerusalemu
Tatizo linakuja je character hao ni wa kina nani?? Wengi husema king Solomon naye ni muhisika kwenye hyo drama sababu ametajwa
The young man is often called the Beloved and is generally identified with Solomon. Itβs curious that God used Solomon to write this, because in the big picture he miserably failed the tests of love and romance. Believing that the Song of Solomon really is by Solomon, we are left with difficult and perhaps unanswerable questions, such as: What is the occasion upon which it was written? Who is the woman so passionately loved by this man who ended with 700 wives and 300 concubines (1 Kings 11:3)? Why was this exceedingly wise man not wise enough to keep his affections for this special maiden alone?
Generally song of songs kina maswali mengi bado,,,
Sio my comment,,, ni comment za hao waliotafsiri songs of Solomon ili uileweunaandika kitu kile kile.. tunazunguka pale pale.. biblia ina side kadhaa.. ila major side ni Mungu.. minor side ni mwadamu. ingawa kuna side za hizo
Mie kwangu simple kabisa kwasababu kwanza ukinileta kwenye KJV sio original manuscripts ya Book of Song..It's not clearu can't put the clear line it's not that simple,
Hakuna namnaBinafsi
Nipo kamati ya roho mbaya
Kibuti kikuhusu
Mie burdan
Nakupata vizuri.. ndio maana sijataka kupingana na views zao.. kutoka kwenye uelewa, views zangu na shule niliyopitia.Sio my comment,,, ni comment za hao waliotafsiri songs of Solomon ili uilewenacopy na kupaste tu mkuu
Correct me if i am wrong,,, so illustration of sensual relationship ni void ?Nimesona theology kwa sehemu sijui kila kitu ila walimu wote hawajawai niachia utata kwenye hicho kitabu.. Upo sahihi na hao pia wapo sahihi kwa watu wao ambao walikuwa wanafundisha.. Point kubwa unaipima scripture kwa namba gani imejenga roho ya mtu mbele za Mungu.. kama haina ujengaji au picha ya Kristo kuumbika hiyo ni void
Nmetumia KJV kujeng point ya song of solomon kama drama yenye wahusika wakuu 3,, na ndvo ilivyo hata kwa original manuscriptMie kwangu simple kabisa kwasababu kwanza ukinileta kwenye KJV sio original manuscripts ya Book of Song..
Unajua OG manuscripts ya Song of Song ipo katika lugha gani?Nmetumia KJV kujeng point ya song of solomon kama drama yenye wahusika wakuu 3,, na ndvo ilivyo hata kwa original manuscript
Kwanza hapa tuanzie hapa.. Hoja kuu ya mjadala wetu ni ipi.. tusije kuwa tumetoka nje ya mada ππCorrect me if i am wrong,,, so illustration of sensual relationship ni void ?
Nishazeeka mimi Boss Lady. Mambo ya kuvunja chaga ni yenu vijana. Ni wakati wenu huu!Hahaa!! Naona leo unavunja chaga msukuma!!!
.. wangetoa pesa.. mnapanga tu mchongo na. mtu mnaenda vunja kwa kuruka ruka bila kukulana
Writen by solomon,, it's Hebrew ofcourse all books of old testament were written kwa kihebrania kasoro some parts of daniel na other book,,, kilichoandikwa baada ya Israel kutoka uhamishon kurudi kujenga yerusalemu from BabelUnajua OG manuscripts ya Song of Song ipo katika lugha gani?
Tungeenda mdogo wangu tukachukue kibundaa eeeh ππ
Nimependa mjadala wako. Nimejifunza vitu. Tuache hii hatuwezi maliza πWriten by solomon,, it's Hebrew ofcourse all books of old testament were written kwa kihebrania kasoro some parts of daniel na other book,,, kilichoandikwa baada ya Israel kutoka uhamishon kurudi kujenga yerusalemu from Babel
Clear line of song of songs kama ni poetic explanation of the relationship between God to human Only, Human to human or human to GodKwanza hapa tuanzie hapa.. Hoja kuu ya mjadala wetu ni ipi.. tusije kuwa tumetoka nje ya mada
Good callNimependa mjadala wako. Nimejifunza vitu. Tuache hii hatuwezi maliza
Ninachotaka, roho iliyo mu inspire muandishi.. twende kwenye OG manuscripts.. baada ya hapo twende kwenye logos ya hicho ( andiko ), kabla hujaenda kwenye rhema.. kinacho tutofautisha hasa hapa ni kwenye rhemaClear line of song of songs kama ni poetic explanation of the relationship between God to human Only, Human to human or human to God