Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
Usomaji wako wa biblia unaongozwa na nini mkurugenziSijawah soma hcho in any bible commentary,,, but sio mbaya
Usomaji wako wa biblia unaongozwa na nini mkurugenziSijawah soma hcho in any bible commentary,,, but sio mbaya
Valentine's lunch, vijana wanajua care!
Sometimes ukitaka kujua the context ya sermon yoyote ya yesu, kisa au kitabu flani,, kwenye bible,, huwa tunatumia bible commentary, inaelezea deep meaning ya section unayotafuta na history ya kitabu hcho,, huelezea pia maneno ya ukakasi kwa maana ya lugha mama ( kiyunani au kihebrania) mostly hutumiwa na wachungaji mafunzoni kipindi wanasoma theology,,,Usomaji wako wa biblia unaongozwa na nini mkurugenzi
Ungejua!🤣🤣🤣🤣🤣Valentine's lunch, vijana wanajua care!
Sometimes ukitaka kujua the context ya sermon yoyote ya yesu, kisa au kitabu flani,, kwenye bible,, huwa tunatumia bible commentary, inaelezea deep meaning ya section unayotafuta na history ya kitabu hcho,, huelezea pia maneno ya ukakasi kwa maana ya lugha mama ( kiyunani au kihebrania) mostly hutumiwa na wachungaji mafunzoni kipindi wanasoma theology,,,
Kwa context ya song of Solomon,, it's not fact kuwa mashahiri yanatumika kama illustration ya upendo wa mwanadamu kwa Mungu,, that's why ujumbe wake ni tofauti na vitabu vyenzake vya mashahiri ( ayubu, zaburi, mithali, muhubiri),, ndo maana kwa ndoa za kiyahudi kinatumiwa sana
Unamkumbuka Josiah?? The 16th King of Judah?? Holy spirit anaweza fanya kazi kama kwa Josiah,, kwa kumdirect mtu kusoma sehemu nyingine for more understandingIpi nafasi ya Roho Mtakatifu hapo? Somo ( masomo yote ya biblia na category zake ).. nini kinaanza kutangulia?

Kwa view yako upo sawa, hujanipa upande wa view yangu. Biblia ( ni kumsanyiko wa maneno ya Mungu, maneno ya watu, maneno ya shetani etc). Nini kilikuwa nyuma ya Solom katika uandishi wa hicho kijarida ?Unamkumbuka Josiah?? The 16th King of Judah?? Holy spirit anaweza fanya kazi kama kwa Josiah,, kwa kumdirect mtu kusoma sehemu nyingine for more understanding![]()
nafunga offer ya hotel
Safi sana hii 😀😀😀Tangawizi vijiweni leoooView attachment 2119330
na kwa watu maalumu 😀😀😀Kwa shughuli maalum
![]()
Mtumishi mbona hivyo jamani?nafunga offer ya hotel
😎😎😎Mtumishi mbona hivyo jamani?