Mkuu acha tuwaze tuu, ndo kitu pekee tunaweza kufanya. Labda kama mwenzangu una namna ya ziada. Me naishia kumuona humu tuu..
Ila haya mambo sijui yamewekewa nini bhana, maana hata ungekua ni wewe kuna wakati ungezoea kuufunua ungeanza kuuona wakawaida kama huyo boya.