Selfika na JF: Snap it. Show it

Of coz ni ya Geneva of Africa πŸ˜„πŸ˜„ hali ya hewa ina support… bills paid off… ni wao tu kurukiana mpaka waishiwe maji πŸ’ƒπŸ’ƒ
Si ungeenda wewe na mbabebez wako dia why umpe ofa X ilhali waweza enda kujimyayamwaya ba babe wako!!!😳😳😳😳????🚢🚢🚢🚢🚢🚢🚢🚢🚢🚢🚢🚢🚢🚢🚢🚢🚢😜😜😜
 
🀣🀣🀣 ni ofa
Sijui unaelewa

Me na my wangu labda tuko zetu Malaika huko nani anajua πŸ’ƒ
 
Mkuu usinipeleke kwenye kuwaza hayo...Acha tu mkuu wangu. Halafu kuna boya huko lishakinai hata halina hamu ya kuufunua huu mtandio dah!
Mkuu acha tuwaze tuu, ndo kitu pekee tunaweza kufanya. Labda kama mwenzangu una namna ya ziada. Me naishia kumuona humu tuu..

Ila haya mambo sijui yamewekewa nini bhana, maana hata ungekua ni wewe kuna wakati ungezoea kuufunua ungeanza kuuona wakawaida kama huyo boya.
 
Ishapita kausha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…