Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Viti virefu.
IMG_20220208_175806_840.jpg
 
Hivi ungeamini kama siku moja watakuwa wapinzani?
Walikua washabiki wa watu...hili ndo tatizo

Wana mawazo ya ujima bado.

Wanaamini nchi ipo kama familia, kwamba inaweza kuendeshwa na mtu mmoja bila mfumo dhabiti.

Unfortunately yule mtu hayupo leo, tumerudi pale pale.

Angetengeneza 'mifumo' leo hii pengine tungekua na hali nzuri.

He created personalities, instead. Akina Sabawize, Albeto Bashi(ru?)

Tunafanya makosa sana tukiamini nchi inaweza kuendeshwa kama kafamilia kadogo.

Kwanini tunaamini tunaweza kuwa na mikataba na ya kuishi milele?
 
Walikua washabiki wa watu...hili ndo tatizo

Wana mawazo ya ujima bado.

Wanaamini nchi ipo kama familia, kwamba inaweza kuendeshwa na mtu mmoja bila mfumo dhabiti.

Unfortunately yule mtu hayupo leo, tumerudi pale pale.

Angetengeneza 'mifumo' leo hii pengine tungekua na hali nzuri.

He created personalities, instead. Akina Sabawize, Albeto Bashi(ru?)

Tunafanya makosa sana tukiamini nchi inaweza kuendeshwa kama kafamilia kadogo.

Kwanini tunaamini tunaweza kuwa na mikataba na Mungu?
😀😀😀😀😀😀
 
Walikua washabiki wa watu...hili ndo tatizo

Wana mawazo ya ujima bado.

Wanaamini nchi ipo kama familia, kwamba inaweza kuendeshwa na mtu mmoja bila mfumo dhabiti.

Unfortunately yule mtu hayupo leo, tumerudi pale pale.

Angetengeneza 'mifumo' leo hii pengine tungekua na hali nzuri.

He created personalities, instead. Akina Sabawize, Albeto Bashi(ru?)

Tunafanya makosa sana tukiamini nchi inaweza kuendeshwa kama kafamilia kadogo.

Kwanini tunaamini tunaweza kuwa na mikataba na Mungu?
Hiyo sentensi ya mwisho si kweli bwana.
 
Back
Top Bottom