Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it


%200208-085725.jpg
 
Daah sijui kwa nini hii meme imenichekesha sana daah
Ina ujumbe wa muhimu sana Mama Mchungaji. Wanawake wengi (hasa hawa wa kisasa wanaojiona wamesoma na wanajua kila kitu) wanafeli kwa kuanzisha ligi zisizo na maana na waume zao. Kila kitu ni mashindano mpaka wanaharibu kila kitu. Jirani yangu hapa kambwaga mchumba wake waliyekuwa chanda na pete kwa sababu hiyo.

Wewe kama mshauri likazanie hili kwenye nasaha zako. Mwanaume ni kuhani wa familia. Yeye ndiye kichwa na hilo halitabadilika leo wala kesho. Ni sawa kumchalenji constructively lakini abusive confrontations za kila siku na stubbornness zinaua upendo.

Ubarikiwe Mama Mchungaji
 
Ahsante sana Mtumishi kwa hekima hizi; nitawakumbusha na hawa wenzangu tusije tukavunja ndoa zetu kwa mikono yetu wenyewe. Ubarikiwe sana

Ina ujumbe wa muhimu sana Mama Mchungaji. Wanawake wengi (hasa hawa wa kisasa wanaojiona wamesoma na wanajua kila kitu) wanafeli kwa kuanzisha ligi zisizo na maana na waume zao. Kila kitu ni mashindano mpaka wanaharibu kila kitu. Jirani yangu hapa kambwaga mchumba wake waliyekuwa chanda na pete kwa sababu hiyo.

Wewe kama mshauri likazanie hili kwenye nasaha zako. Mwanaume ni kuhani wa familia. Yeye ndiye kichwa na hilo halitabadilika leo wala kesho. Ni sawa kumchalenji constructively lakini abusive confrontations za kila siku zinaua upendo.

Ubarikiwe Mama Mchungaji
 
Back
Top Bottom