reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,454
- 29,364
Huna lolote!!!msanii[emoji28][emoji2][emoji2][emoji2]
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Huna lolote!!!msanii[emoji28][emoji2][emoji2][emoji2]
Na mimi nitakuwa Dodoma kuanzia tarehe 22 April. Tutaona huo uzungu wake. Ashindweeee !!![emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23] hayuko hvyo bwana mzungu kichizii!!!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Nipo sana tuu!ngoja niandae tumbooo!!Unanilaumu bure tu kuhusu huo usanii
Punguza kujifungia, uje ule mbuzi jirani kabisa hapo
Aisee...
Embu do the needful mama Pep....Sio kaselfie; nishaipa pisi yako album nzima ikuletee.
Ewaaa mmalizane wenyewe sasaEmbu do the needful mama Pep....
Vinginevyo dadako kusema amenenepa bila picha itakua ubatili tu na kujilisha upepo
Naam, nimetulia sebuleni kwa Kasim Majaliwa hapa namsubiriEwaaa mmalizane wenyewe sasa
Unavyo lakini una kausanii[emoji2]Aisee...
Lolote kabisa..!!? Aaaa mkuu...
Nitake ladhi bhanaa..
Kuna yenye ninayo bhanaa..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]karibu sana hana shida ht kidogo utafurahi mbona!Na mimi nitakuwa Dodoma kuanzia tarehe 22 April. Tutaona huo uzungu wake. Ashindweeee !!!
Sio ninavyo, ninayoo..
Ipo ivo ivo mkuu bila plagiarism [emoji16]Hii imekaaje mkuu
Tuelekee Dodoma mkuu tukatest zali la mzungu Kashaija. Si ajabu mwenzetu ana Range Rover jipyaa na maji yake ya kunywa yanatoka Fiji islands. Yaani senene wake tu ni mpaka wakakaushiwe Italy. Kazi tunayo kamanda! [emoji16][emoji16][emoji16]Sio ninavyo, ninayoo..
Yani hiyo "vyo", stands for vidogo dogo sana.
[emoji818][emoji818][emoji818]
View attachment 2112777
Humo mkuu hao ndo wazuri kwa sisi pangu pakavu, kwasababu hawatutarajii kuweza.Tuelekee Dodoma mkuu tukatest zali la mzungu Kashaija. Si ajabu mwenzetu ana Range Rover jipyaa na maji yake ya kunywa yanatoka Fiji islands. Yaani senene wake tu ni mpaka wakakaushiwe Italy. Kazi tunayo kamanda! [emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122] aliyesema mji bila wazee ni vurugu hakukosea[emoji818][emoji818][emoji818]
View attachment 2112777
Ina ujumbe wa muhimu sana Mama Mchungaji. Wanawake wengi (hasa hawa wa kisasa wanaojiona wamesoma na wanajua kila kitu) wanafeli kwa kuanzisha ligi zisizo na maana na waume zao. Kila kitu ni mashindano mpaka wanaharibu kila kitu. Jirani yangu hapa kambwaga mchumba wake waliyekuwa chanda na pete kwa sababu hiyo.Daah sijui kwa nini hii meme imenichekesha sana daah
Hahahahaa!Kumpata ilikua full gospel
Nilipiga goti kweri kweri.....mpaka sasa hivi bado nna makovu
View attachment 2112708
Ina ujumbe wa muhimu sana Mama Mchungaji. Wanawake wengi (hasa hawa wa kisasa wanaojiona wamesoma na wanajua kila kitu) wanafeli kwa kuanzisha ligi zisizo na maana na waume zao. Kila kitu ni mashindano mpaka wanaharibu kila kitu. Jirani yangu hapa kambwaga mchumba wake waliyekuwa chanda na pete kwa sababu hiyo.
Wewe kama mshauri likazanie hili kwenye nasaha zako. Mwanaume ni kuhani wa familia. Yeye ndiye kichwa na hilo halitabadilika leo wala kesho. Ni sawa kumchalenji constructively lakini abusive confrontations za kila siku zinaua upendo.
Ubarikiwe Mama Mchungaji [emoji1545]