Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,304
Poa rafiki.. huku mungu mwema na hatujambo! unamisika sana rafiki
hahahaha.nipo rafiki mrembo.mambo vp?
hahahaha.nipo rafiki mrembo.mambo vp?
Ngozi nyeusi bwana ina taste yake unique yani, wacha tuzidi tu kuwekeza huko

hahahahaha.vzr km hujambo, nani ananimiss tena humu?Poa rafiki.. huku mungu mwema na hatujambo!unamisika sana rafiki
hahahaha umeshikwa na nn tena? Msaada upoSafi sana. Nimeshikwa nahitaji msaada wa kikosi maalumu
Sisi wana selfika... Pamepoa sanahahahahaha.vzr km hujambo, nani ananimiss tena humu?
hahahaha nipo rafiki mremboSisi wana selfika... Pamepoa sana
Hivi ulishaselfika?? Nimetingwa Kidogo ukute nilipitiwa na selfie yakohahahaha nipo rafiki mrembo
hahahaha.kweli ulitingwa .niliselfika rafiki mrembo.dah umepitwaHivi ulishaselfika?? Nimetingwa Kidogo ukute nilipitiwa na selfie yako
guu la biaWeeeehh hilo guu sio mchezo hapo mbona nimesalute!Shikamoo Chakorii
Nimeshikwa, simu napewa kutumia kwa dk kadhaa hapa penyewe soon nanyanganywaa simu hadi akipenda kunipa 😔😔😔😔hahahaha umeshikwa na nn tena? Msaada upo
hahahahaha ,huyo shemeji yangu safi.analinda mtu na mali yakeNimeshikwa, simu napewa kutumia kwa dk kadhaa hapa penyewe soon nanyanganywaa simu hadi akipenda kunipa 😔😔😔😔
Bye bye kamanda 😔😔😔hahahahaha ,huyo shemeji yangu safi.analinda mtu na mali yake
Wacha weeh! Basi kama uliselfika ni kheri pia japo imenipita ila sio mbaya bilashaka wana selfika waliniwakilisha kwa kuona selfie yako!🙏hahahaha.kweli ulitingwa .niliselfika rafiki mrembo.dah umepitwa
hahahaha,ewaaWacha weeh! Basi kama uliselfika ni kheri pia japo imenipita ila sio mbaya bilashaka wana selfika waliniwakilisha kwa kuona selfie yako!🙏
umefungiwa?Bye bye kamanda 😔😔😔