Simara
JF-Expert Member
- Oct 1, 2014
- 7,561
- 23,991
Duuuh ndio imeshakuwa tabia
ndiyo hakuna namna
Duuuh ndio imeshakuwa tabia
Anatusanifu huyuu!!!!dadaNkamu nkamu
Ewaaa...jirani yangu nini!!??
Anatusanifu huyuu!!!!dada
bahatisha upate zawadi 😄😄😄Ht sijui![]()
Mmeanza kunyanyapaa wanaolala mapema naona,Mkuu kama kawaida kasura tunaweka saa nane usiku

Nitajitahidi japo kuna ugumu hapo .mazoezi na kuweka nidhamu ktk mlooo
Madoto karibu na kigogo hyoo!okayyhapana ila napasikia tu nilikua nna rafiki yangu kwao ni huko
Hahaaa!!!hapana binamuuNa wewe unaungana naye kunisanifu?
Yaani ukiweza umewin na sio lakiniiNitajitahidi japo kuna ugumu hapo .
Napenda sana kuwa fit sema ndo hivyo .
sikutegi bwanaaa 😀😀😀wantegaaa
Nahisi mwili ukija hauna jinsi, inabidi ukubaliane na hali tu .Yaani ukiweza umewin na sio lakinii
Mmeanza kunyanyapaa wanaolala mapema naona,![]()

hakuna namna watapitwa tu