Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,761
wananione tu, kila mdada humu ananiita mie dogo wake.. jamani hamna fair 😓😓Ushakatwa ngebe tayari... Sio poa
wananione tu, kila mdada humu ananiita mie dogo wake.. jamani hamna fair 😓😓Ushakatwa ngebe tayari... Sio poa
💃tutembee vifua mbele
Nimeshaagiza Saint AnneEwaaa
Agiza kvant mkuu
Nakuja kulipaNimeshaagiza Saint Anne

Ndio yule wifi ananizuilia haki zangu kwa kaka?Saa ngapi hiyo nisipitwe mimi
Wapi dada ake?
Karibu nipo hapa 255Nakuja kulipa![]()
Iachie mkuuNgoja niwape moja ya nusu nusu View attachment 2099986
Ndio wapi mkuu?Karibu nipo hapa 255
Mikocheni/kawe darajaniNdio wapi mkuu?
Mbali mnoMikocheni/kawe darajani

unataka kumuona jirani.. mbona nilisha muweka sema haupo makini.. badae badae mzuka ukinipanda natumiamo
![]()
Mbali wewe upo wapi kwani, weekend kama hivi bado mapemaaaMbali mno![]()
Ndio yule wifi ananizuilia haki zangu kwa kaka?
nimesema wapi 😀😀😀.. wewe wasemaAu yule wa ofisini?
Ngoja tumuoneHuyohuyo

DohMbali wewe upo wapi kwani, weekend kama hivi bado mapemaaa

Kumbe siye? Ngoja tumsubirinimesema wapi.. wewe wasema
Mood ikija napost matukio isipokuja basii tena 😀😀😀😀Kumbe siye? Ngoja tumsubiri