Selfika na JF: Snap it. Show it

Jana nilikuwa msibani somewhere; walipoimba, wacha niwakumbuke na dada yako

Sioni haya kwa Bwana,
Kwake nitang’ara!
Mti wake sitakana,
Ni neno imara.

Msalaba ndio asili ya mema,
Nikatua mzigo hapo;
Nina uzima, furaha daima,
Njoni kafurahini papo.

Kama kiti chake vivyo,
Ni yake ahadi;
Alivyowekewa navyo,
Kamwe, havirudi.
 
Jana ilikuwa siku nzuri sana kwangu na leo ikawa extra deep.. nzuri sana.. πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ kuna wimbo wa Rehema Simfukwe jana na leo na sasa ukawa una make sense sana kwangu...
 
Inawezekana sio vyote lakni unavyo vilivyoorodheshwa
Kuhusu wewe πŸ˜€πŸ˜€, una beza mambo yanayo onekana complex, hupendi kujishulisha na issue complex, una ka uvivu flani 😊😊😊, una huruma sana japo sio mwepesi kutoa chozi πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€. Hupendi masumbufu.. upo selective katika watu.. huna kiburi.. chakula.. naendelea kutililika tu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…