Jana nilikuwa msibani somewhere; walipoimba, wacha niwakumbuke na dada yako
Sioni haya kwa Bwana,
Kwake nitangβara!
Mti wake sitakana,
Ni neno imara.
Msalaba ndio asili ya mema,
Nikatua mzigo hapo;
Nina uzima, furaha daima,
Njoni kafurahini papo.
Kama kiti chake vivyo,
Ni yake ahadi;
Alivyowekewa navyo,
Kamwe, havirudi.