Kweli mkuu haka kajamaa huwa kanacheka na kila mtu hakanaga tatizo na mtu wala sijawahi kukafuma jukwaani kanagombana na mtu. Kenyewe huwa kapo tu kanaamua kuwa kapenzi kasomaji na hata kakicomment hakaandiki maneno mengi ni vinukta tu au kucheka au sentensi zake mbili basi kamemaliza.