Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 7,151
- 28,874
Sijawahi kuvaa suti..sijui lini nitanunua suti Kwa kwelikitambi cha kazi gani aseee![]()

Sijawahi kuvaa suti..sijui lini nitanunua suti Kwa kwelikitambi cha kazi gani aseee![]()

siku wife wako akitaka kuvaa utavaaa tuSijawahi kuvaa suti..sijui lini nitanunua suti Kwa kweli![]()
Umeenda kuogelea? Natumaini sio ya kudanilodi
Nipe mwenyewe basiAmesema hujamfikishia salamu zangu za jana
hahahaha.mtumishi yuko on fireKhaaa mtumishi
Where is wifey jamani?
Simuoni and.... I miss her.
Nipo confused hapa hadi nimeshindwa kuhudhuria kikao cha chama pale shinani
Anaimba wimbo wa Alikiba huyo kaka🤣🤣🤣.kipara acha fix basiii 😀😀😀
wa hivi huwa wana noga sanaaaa...
Mtumishi naona amebugia nyagihahahaha.mtumishi yuko on fire
Ngoja nijiandae kununua suti Kwanza,kisha nitafute wife,siku akitaka isiwe shidasiku wife wako akitaka kuvaa utavaaa tu
😀😀 ndio mie huyo kuanzia juu hadi chini.. ndio maana mnaniona katoto.. kha.. hapo kazini bwanaaaa.. unaogeleaje hapo umevaa hivyoUmeenda kuogelea? Natumaini sio ya kudanilodi
Mbona mchana nilikuwa nae![]()
na wewe huna wife kumbe 🙄🙄Ngoja nijiandae kununua suti Kwanza,kisha nitafute wife,siku akitaka isiwe shida
hahahaha.katisha sanaMtumishi naona amebugia nyagi
Sawa mtumishindio mie huyo kuanzia juu hadi chini.. ndio maana mnaniona katoto.. kha.. hapo kazini bwanaaaa.. unaogeleaje hapo umevaa hivyo
anazingua plus 😀😀Kwa hiyo ananizuga hapa?
mtumishi wa moto 😀hahahaha.mtumishi yuko on fire
Haki we kaka mchana umeniona mimi hapa?Mbona mchana nilikuwa nae![]()
Leo nilitaka nisiguse humu.
Yaani nyie watu bwana
HS ,wapambe wenzako na shemeji yenu Dah![]()