ππππ.. weee nitake radhi basii.. mie nimefanya kozi moja na SAS na nimefanya mission kadha wa kadhaaaa... kama huamini njoo unione na combat zangu.. sema tu nilifukuzwa ππ
ππππ.. weee nitake radhi basii.. mie nimefanya kozi moja na SAS na nimefanya mission kadha wa kadhaaaa... kama huamini njoo unione na combat zangu.. sema tu nilifukuzwa ππ
Ok sema sio mkaaji wa hapo kwenu darslum Ila sio mbaya utanipa location kesho kabla ya kwenda arusha niwabariki fulltank diesel kwenye gari ya mh pole pole
Ok sema sio mkaaji wa hapo kwenu darslum Ila sio mbaya utanipa location kesho kabla ya kwenda arusha niwabariki fulltank diesel kwenye gari ya mh pole pole
nataka nijaribu kwa mjeda now, huyu ndo atafanya niwapende na nisiwaogope wajeda, au laah nizidi kuwachukia na kuwaogopa zaidi wajeda, regardless nina shem na cc n wajeda.
nataka nijaribu kwa mjeda now, huyu ndo atafanya niwapende na nisiwaogope wajeda, au laah nizidi kuwachukia na kuwaogopa zaidi wajeda, regardless nina shem na cc n wajeda.