Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
Ukipata mchongo wa kuuza nitonye na mimi
Ukipata mchongo wa kuuza nitonye na mimi
I love to love you Precious JesusI love you, to love you..😊😊😊
View attachment 2094144
🙄🙄 twende muhimbili hatuwezi kosa wateja 😒😒😒Ukipata mchongo wa kuuza nitonye na mimi
Twende lini sasatwende muhimbili hatuwezi kosa wateja
![]()
☺️☺️ kesho mapemaaaa tu, wateja wapo wa kumwaga.. ukipata hela zako utafanyia nini kwanza 😎😎😎Twende lini sasa
😆😆😆😆 Why???siku nikkuona live nakubeba juu juu![]()
kesho mapemaaaa tu, wateja wapo wa kumwaga.. ukipata hela zako utafanyia nini kwanza
![]()

nashindwa kupanga bajeti kwa vile sijui bei. Ila nikuulize wewe labda kwa mfano tukaambiwa figo moja milioni ishirini kila mtu akatoa moja jumla tukapokea mil.arobaini wewe utafanyia nini milioni mbili yako


Why unakonyeza jicho moja?😂
🙄🙄🙄🙄🙄🙄 Hiiiii hela ingine inaenda wapi kwani lolnashindwa kupanga bajeti kwa vile sijui bei. Ila nikuulize wewe labda kwa mfano tukaambiwa figo moja milioni ishirini kila mtu akatoa moja jumla tukapokea mil.arobaini wewe utafanyia nini milioni mbili yako
![]()
Hata mimi sijuiWhy unakonyeza jicho moja?![]()

Umechomo kuja kula pindi eeh! alafu ile BMW X8 imefika ipo tu parking, huitaki
Khaa hili sio jibu la swali nililoulizaHiiiii hela ingine inaenda wapi kwani lol


🥴🥴🥴🥴🥴.. naenda azam cola chenji inayobaki chips yai.. kila siku hadi iishe 😎😎Khaa hili sio jibu la swali nililouliza![]()