Selfika na JF: Snap it. Show it

πŸ˜€πŸ˜€ Nafuta kila neno ambalo lipo kinyume na mapenzi ya Mungu juu ya maisha yako, kila kunenewa kubaya tunakufuta kila neno baya tunalifuta. Ukakubarike na ikawe kweli na aminia juu ya kila jambo kako. Ubarikiwe Ardhini, ubarikiwe Baharini, Ubarikiwe mbinguni, ubarikiwe, kaskazini, kusini, mashariki na magharibi kila neno lisilo na nuru wa uhai tunalifuta, kila kinywa kilicho beba laana, kushindwa na giza zidi yako tunakifunga.. Gold ni sehemu yako 😁😁😁

Kesho nitumie ka selfie basi 😎
 
AMEN AMEN AMEN

(Bado nimenuna)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…