Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
π₯°π₯°ππππ₯°ππ₯°ππ₯°ππ₯°ππ₯°ππ₯°ππ₯°ππ₯°ππ₯°ππ₯°ππ₯°ππ₯°
Valentine ni huku mama pastor umeona watu ni 2 by 2Worthy is your name![]()
Sasa wa one by one inakuwaje?π€¦ββοΈ
πSaint Anne umepitwa teh teh
Great....Mimi mzima kabisa....Nipo Shem darling!
SafiiiiiSanaaaaaa



Sasa wa one by one inakuwaje?![]()
Mzee naona umeamua kutoa malike ya makopa sio poa!
Nani tena?Unamkana?
ππ One times One = 1 divide by 2 unapata mtu nusu πππ... But 2 times 2 = 4 divide by 2.. unapata 2.. πππSasa wa one by one inakuwaje?π€¦ββοΈ
Mbona unanivuruga?π€¦ββοΈNimecheka hadi nimekaa chini
mapenzi mazuri sana.. pale inapokuwa kuna oneness legal na ambayo ipo na full packagesHatari na nusu. Ila mapenzi bana daah![]()
Kwahiyo sisi wa one by one tunakuwa nusu tena na siyo one πππ One times One = 1 divide by 2 unapata mtu nusu πππ... But 2 times 2 = 4 divide by 2.. unapata 2.. πππ
Nani tena?
Mbona sentensi tata?
Sikujuaga haka katufe kanavyo fanya kazi leo tu nakutumia kesho nahamia kwenye kingine ππMzee naona umeamua kutoa malike ya makopa sio poa!
Mbona unanivuruga?
Ngoja nikajipumzishe kwanza kwa shemeji yetu![]()
ewaaaa ndio ni watu nusu πππKwahiyo sisi wa one by one tunakuwa nusu tena na siyo one π