Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,031
- 34,666
Sawa sawa...Mzigo unaandaliwahahahaha,hapana cjasema hivyo rafiki
ila we tupia tu hata uki crop



Kwa hiyo ukisimama na sisi wa milimani tutafute stuli eti?![]()
Sijawahi kula![]()
Naomba nikufunue nikusome mkuuUshaanza,
Nilale mie![]()
Kila mtu ana namna yake kuyapatia maisha... ukisimama kwa mwendokasi unakuwa juu ya wengine?Teh tena napenda kujivalisha na heels, basi najiona mrefu afu eti madai yangu nimeyapatia maisha mweeeh![]()



Tuone ule mzigo?

Usinitupe basi shem!!na usubiria rafiki
Usinifinyange namna hiyoo mtumishi,basi wenye tege lake lililo mpendeza.Bonge au mwembamba?