Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758





hivi mie nna nn lakini? Ujue ukioniona hutaamini hata, yaan nipo kuliko hata unavoona humu,Kweli mwaka mpya na ari mpya🤣🤣🤣
Hii miziki ya vijana siielewagi ujue🤣🤣🤷♂️🤷♂️🤷♂️🤷♂️
View attachment 2084082
Naam mkuu.
Endelea kutoe elewaaa tu... ukikuta huo mziki ndani ya Harman Kardon.. lazima upagaweee... 😊😊😊😊.. ujana rahaa.. pole kupenda mambo ya uzeeeHii miziki ya vijana siielewagi ujue🤣🤣
Wakubwa mnafaidi!Evening friends!View attachment 2083975
nakabeba kama bahashaaa hadi juu ya dirishaaa 😊😊😊

Kweli mwaka mpya na ari mpya![]()
Hivyo hivyo ulivyohivi mie nna nn lakini? Ujue ukioniona hutaamini hata, yaan nipo kuliko hata unavoona humu,



Uko wapi financial services karibu sana mjini kwetu
Naam mkuu.
Tunaweza kufunga siku hivi.
Saint Anne huu wimbo unaleta vibe la kucheza, embu 'lirudi' na baba mtumishi tafadhali 😉
Naam mkuu.
Tunaweza kufunga siku hivi.
Saint Anne huu wimbo unaleta vibe la kucheza, embu 'lirudi' na baba mtumishi tafadhali 😉
Mmmh na picha
"Yes ,yes microphone test"
Salaam"Yes ,yes microphone test"
" tunajaribuu,,yes,yes,aloo"
Dj mleteee![]()