Selfika na JF: Snap it. Show it

Najua vizuri mbona sema experience zinatofautiana. Kwa experience yangu kuna uhuru fulani unalazimika kuuacha! Otherwise itakua ndoano
Ndo ukweli wenyewe, limitations nyingi mno. Aaaaah.
Ila mtindo wa kuviziwa sio mzuri, yaan mtu anatoka sehem X anakuja sehemu Z hakupi taarifa, mtu unaenda kwa mchepuko uko njian hata hujafka unapigiwa cm "nipo hapa home mlango umefungwa uko wapi?"
ndoa jamani weeeeh
 
🀣🀣🀣🀣🀣! Noma sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…