Ndo ukweli wenyewe, limitations nyingi mno. Aaaaah.
Ila mtindo wa kuviziwa sio mzuri, yaan mtu anatoka sehem X anakuja sehemu Z hakupi taarifa, mtu unaenda kwa mchepuko uko njian hata hujafka unapigiwa cm "nipo hapa home mlango umefungwa uko wapi?"
ndoa jamani weeeeh