Mjomba jina lilikatwa mapema akaanza kusuka kikosi Cha fitna na Mambo ya kuloga kampaign manager nilimkimbia mapema simu zake hua sipokei anatuma msg za vitisho kua nimehamia team 'CV'
Mjomba jina lilikatwa mapema akaanza kusuka kikosi Cha fitna na Mambo ya kuloga kampaign manager nilimkimbia mapema simu zake hua sipokei anatuma msg za vitisho kua nimehamia team 'CV'
Hivi ni Saint Anne peke yake ndiye alibahatisha picha za Mama Mchungaji siku ile? Hata kama alificha sura shepu itakuwa ilionekana tu. Aliyezipata si angalau aweke dodoso kidogo ili tupate picha (japo hafifu tu) ya hii miksa ya Mnyamwezi na Mkaskazini?