Selfika na JF: Snap it. Show it

Wewe wanitosha

Huu wimbo
Mungu amenihurumia, tendo hili kubwa sana,
Sikustahili jambo hili, nimelipata bure tu!

Sasa najua hayo yote X2

Nasifu rehema zake X2

Nalistahili kupotea, lakini nahurumiwa,
Mungu amenipatanisha na yeye kwa Yesu Kristo,

Sababu hii namtumikia X2
nasifu huruma yake X2

Mungu mwenye huruma nyingi, usininyime huruma,
Naitafuta siku zote nikiulizwa na watu,

Hivi vyote vyatoka wapi? X2
Nasema ni huruma…
 
Jambo hili lenye huruma
Nitalisifu daima
Nalihubiri siku zote
Nikiulizwa na watu

Ndilo furaha yangu kubwa Γ—2
Nalingojea nikifa Γ—2
 
Ahaa Ndiomana kumbee!!! Wakule Wengi mna shida ya "H" na "A" ..niliona hilo muda kidogo. .. hivi leo ushaselfika eehh??
Mie ukikutana na mie live, pia utauliza kabila langu 😁😁😁😁 tena unaweza hisi labda mzigua kila mtu hunipa kabila analotaka yeye πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…