Raha sana asehh!hongera kudeka enjoy Mungu ajaalie upate mtu sahihi atakaekupenda na kukujali maana ukipata ndimu mkata shombo!utapata shida sanaSasa nifanyeje kama nadekezwa.
Imagine sasahivi nimetoka kazini nimekuta Bi mkubwa amenifulia,kanipangia vitu vizuri asbh niliacha nimevuruga..namkataza asinifulie na mlango huwa nafunga lakini wapi!
Binamu hapo kwenye hobby the first person kunipeleka supermarket enzi hizo shoprite ni baba,mtu kwa kwanza kunipeleka Hotel ya kifahari ni mzee ananiambia chagua chakula hapo ht sijui Nile nini! mpk chozi linantoka hapa!!!It's never too late. Jitahidi sana;sio tu kuwa present, bali uwe available to your kids. Na uzuri watoto ni very understanding; ongea nao waambie kwa nini unakuwa mbali nao, watakuelewa tu. Na mawasiliano yamerahisishwa sana siku hizi, wapigie simu, do video calls n.k. Unawauliza habari zao na siku zao zimeendaje, wasaidie homeworks, unawauliza wanahitaji nini; na unamwambia kabisa nimetumia mama hela akununulie kitu fulani; wajue kuwa baba yupo, anatujali na kutuhudumia.
Siku ukipata nafasi ya kuwa nao; make sure mnakuwa na wakati mzuri ambao unaweka alama kwenye maisha yao. Toka nao, shiriki kwenye hobby zao, wapeleke shopping, wasaidie kuchagua vitu wanavyovipenda, omba nao, shiriki kwenye vikazi vyao vya nyumbani n.k. Yaani siku ukiwepo, ionekane kweli baba yupo, jitahidi kufidia ule muda ambao hukuwepo
Woyooooooooooooooomrejeshokampeni yako imefanikiwa kwa 100% nashukuru sana..
wivu tu..Woyooooooooooooooo
Woyooooππ₯π₯π₯
Nisije nikayapitia kweli
Kichwa changu ni kibovu.
Ngoja nitakutafuta tuongee
Vizito kweli ila ni vyema kujifunza .
Kweli kabisa watu wanaolewa na high school sweetheart hawajaonja joto ya jiwe hata mara moja .
πππNiombee Mungu nipate ujasiri sasa wa kukupigia.Anytime baby
Binamu hapo kwenye hobby the first person kunipeleka supermarket enzi hizo shoprite ni baba,mtu kwa kwanza kunipeleka Hotel ya kifahari ni mzee ananiambia chagua chakula hapo ht sijui Nile nini! mpk chozi linantoka hapa!!!
Huwa nawaambiaga watu Mara nyingi mwanaume ambae hana makandokando mengi especially uhuni ana stick sana na familia yake, na anakua vzr kwenye sekta ya kua karibu na watoto,mpk advance ananinunulia nguo za ndani!without that man nisingekua hapa nilipo Leo ht!Mungu alimuongoza sana...nna mengi ya kuongea ila amenipambania sana! Haswa my step mom alivyokua hataki kabisa Mimi nitoboe au mzee anikubali!
Kiukweli baba yangu sidhani km yupo wa kufanana nae!
Amen ...Nacheka kama mazuri. Ila Mungu ni mwema sana
π€£π€£π€£π€£Lafudhi ya kizanzibari inautesa sana moyo wangu.Nakonda moyo,niombeeni ndugu zangu!πππ
View attachment 2081352
Niombee Mungu nipate ujasiri sasa wa kukupigia.
Ninavyokuogopa
Aisee, kutoka kwenye hii mikono, nime figure mambo mawili matatu kihusu wewe, moja u mrembo sana
Yeah; hapo pa kusamehe sasa; kwa wengine imekuwa ni jaribu la maisha yao...Amen ...
uzuri ni kwamba unasamehe life inasonga
β€β€β€Binamu hapo kwenye hobby the first person kunipeleka supermarket enzi hizo shoprite ni baba,mtu kwa kwanza kunipeleka Hotel ya kifahari ni mzee ananiambia chagua chakula hapo ht sijui Nile nini! mpk chozi linantoka hapa!!!
Huwa nawaambiaga watu Mara nyingi mwanaume ambae hana makandokando mengi especially uhuni ana stick sana na familia yake, na anakua vzr kwenye sekta ya kua karibu na watoto,mpk advance ananinunulia nguo za ndani!without that man nisingekua hapa nilipo Leo ht!Mungu alimuongoza sana...nna mengi ya kuongea ila amenipambania sana! Haswa my step mom alivyokua hataki kabisa Mimi nitoboe au mzee anikubali!
Kiukweli baba yangu sidhani km yupo wa kufanana nae!
dah ndo kuniringishia..Pole babuuuuView attachment 2081358