Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 7,151
- 28,874
Leo watanikoma mbn..mpaka wanionyeshe jukwaa la wachumba na Mimi nijibariki na huu mwaka mpya,km hawataki huu ndy utakuwa mgomo wangu baridi..mida wao wamelala Mimi napost Tu π€£ππ
Saa hizi nakula mziki tu...hayo yalikuwa ya mchana.
Endelea kumwaga selfie π
Hapo hakuna nyimbo zangu,labda D knob..Kuna watu wananishangaa sn mbn wewe hauna mwonekano wa kigumu lkn ni mtu wa hip-hop sn
Hamia zako Love Connect ukajiopolee wako na wewe uwe unalala kwa wakati ππLeo watanikoma mbn..mpaka wanionyeshe jukwaa la wachumba na Mimi nijibariki na huu mwaka mpya,km hawataki huu ndy utakuwa mgomo wangu baridi..mida wao wamelala Mimi napost Tu π€£
Sipendi wali.. napenda ugali donaHuu mchuzi wa Wazanzibari sikuuelewa kabisa π₯΄View attachment 2080045
True that!!!ππΎππΎππΎHapo hakuna nyimbo zangu,labda D knob..Kuna watu wananishangaa sn mbn wewe hauna mwonekano wa kigumu lkn ni mtu wa hip-hop sn
Nawajibu hip hop ni maisha
Dona iwe na mboga za majani (za kueleweka) pembeni πSipendi wali.. napenda ugali dona
List ya wasanii wangu Bora
I've never really liked Fid Q...sijui kwanini. Saigon flow yake ni (au sijui ndio ilikuwa π€) imetulia sana.List ya wasanii wangu Bora
Bongo
Fid q
Fido vato
Chindo
Nikki mbishi
Saigon..jamaa ameacha muziki sasa hivi yupo radio Iman anatoa daawa
Tamaduni music(sasa hivi wanajiita kikosi kazi)
Mbele
Kendrick Lamar
Talib kweli
Ti
Drake
Ila Kendrick is my favourite artist
Siwezi kuwa mention wote mkuu..Saigon dah jamaa anajua sn YuleI've never really liked Fid Q...sijui kwanini. Saigon flow yake ni (au sijui ndio ilikuwa) imetulia sana.
Na Talib Kweli niall around!!!!
Alafu mbona sijamuona Mos Def???
simu yangu ina Ngoma 456..hip hop,zilipendwa kina Remy ongala,ottu jazz,baraka mwinshehe nk, gospels za kutosha,reggae na countryTrue that!!!
View attachment 2080048
I'm sure kwenye tracks zangu zote 566 lazima unazozielewa zitakuwepo za kutosha!
Nielekeze njia ya kufika huko basiπHamia zako Love Connect ukajiopolee wako na wewe uwe unalala kwa wakati ππ
kweli kabisa mkuu, ndo niko napambana kama mwezi hivi ikishindikana ntatafuta watu wazima sasa wamuulize kwanini ananikatili kiasi hii..Boss pambania kombe,we uoni Simba ushindi mwembamba wa penalty Ila wameondoka na Kombe?! U never know..View attachment 2080070
Yaan wewe unadeka halafu unapenda kubembelezwa.santee, kesho kama kawaida maombi ya kuja PM yanaendelea ujiandae sawa!?..
kusema ukweli huo ndo uhalisia, ila nadekeza pia na kubembeleza in return sasa mapenzi ya kiaskari jeshi mtu anakuwa kama sultan makenga, siyapendi..Yaan wewe unadeka halafu unapenda kubembelezwa.
Wengine hiyo sekta ya kubembeleza hatupo kabisa
Yaan napenda kubembelezwa,kudeka ukoo unalijua hill, lakini wewe,umenizidikusema ukweli huo ndo uhalisia, ila nadekeza pia na kubembeleza in return sasa mapenzi ya kiaskari jeshi mtu anakuwa kama sultan makenga, siyapendi..
haahaha eti nimekuzidi halafu usije kuniharibia hapa nikaonekana hamna kitu, si umeona mahondaw amenirudisha kiutu uzima hapa roho nyeupeee..Yaan napenda kubembelezwa,kudeka ukoo unalijua hill, lakini wewe,umenizidi
Siwezi kubembeleza,
Halafu kosa huyo Ali yen u be be leva,sahizi ungekuwa unajililia tu huko,maana hakuna angekubembeleza ubaki
Huyo hajakujua Kama unapenda kubembelezwahaahaha eti nimekuzidi halafu usije kuniharibia hapa nikaonekana hamna kitu, si umeona mahondaw amenirudisha kiutu uzima hapa roho nyeupeee..