Kumbe Bambalaga na Pestana ni za mtu mmoja? Sasa mkuu mbona nimeambiwa Pestana imefungwa permanently na sasa hivi Bambalaga ndiyo habari ya mjini sasa hao wanafunzi wataenda wapi?
Halafu Bambalaga ile tabia ya wale mabaunsa kuzuia watu kuingia kisa mionekano tu siyo poa wala nini! Mkuu
donlucchese au na mimi siku nikienda niwaambie mi mdogo wake Bigi CDO labda watakubali?