hahaah si unajifanya umekunywa maji ya bendera we nshakwambia kitambo tuendelee na mjadala wetu kuhusu touareg na vibaby walker mambo ya siasa yatakuzeesha huskii..
Wakati yeye ana katumbo kadogo kiuno kimejikata hicho na hapo tayari ana watoto.
Wenzangu na mimi bado hatujazaa ila matumbo yashamwagika..mazoezi muhimu,tukatae vitambi.
Watu na miili yao jamani , mtu unazaa hadi unazaa bado upo na flat hivyo .
Yaani nikiwaza hichi kitambi nacheka maana kila namna navyo jitahidi kitoke wapi
Sema siasani kunachekesha...
Kama jana Rais amesema vijana watafute fursa,,mmoja akasema kma vipi watukusanye tusio na ajira watuuze nchi za nje kama mbolea
Wakati yeye ana katumbo kadogo kiuno kimejikata hicho na hapo tayari ana watoto.
Wenzangu na mimi bado hatujazaa ila matumbo yashamwagika..mazoezi muhimu,tukatae vitambi.
Watu na miili yao jamani , mtu unazaa hadi unazaa bado upo na flat hivyo .
Yaani nikiwaza hichi kitambi nacheka maana kila namna navyo jitahidi kitoke wapi