Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Pamoja Na kusimamia ukuchaNimeingia kupiga tangawizi na kashata ya uswazi kabla ya kwenda kulala.. hii inafanya misuli kuwa imara mda wote 😂😂😂View attachment 2068436
Pamoja Na kusimamia ukuchaNimeingia kupiga tangawizi na kashata ya uswazi kabla ya kwenda kulala.. hii inafanya misuli kuwa imara mda wote 😂😂😂View attachment 2068436
🙄🙄🙄🙄 Jamani nimechafuaje leo nimeshinda chumbani, nimetoka nimeenda kula, nimemaliza kula nimepita kimtaa flani hapa napata tangawizi narudi chumbani.. labda atokee kuku wa kienyeji aniingize jaribuniMimi nakataa hakuna kimasihara kwenye kupiga game.
Mpaka sasa umeshaanza kuuchafua
😂😂😂😂 Ukucha nitasimami wapi asee.. wakati naingia ndani pananichekea tuuuPamoja Na kusimamia ukucha
Shem Darling..Nakazia![]()

Kwanini mkuuKuoa mwanamke aliyefikisha miaka 30 ni sawa na kununua gazeti jioni.

Abee shem darlingShem Darling..![]()
I see yooo😉
Tell himKwanini mkuu
Ila umri huo watam
MumeoTell him
hakuna wadada watamu kama wenye 30+, sio wasumbufu, wakomavu akiamua kuwa na wewe ameamua.. ndio kipindi ambacho mwanamke akiamua kutulia na kukupenda ndio icho, ila hivi vidogo dogo mmh! 😂😂😂Kuoa mwanamke aliyefikisha miaka 30 ni sawa na kununua gazeti jioni.
Baelezeee mzee mwenzangu 😊😊😊Kwanini mkuu
Ila umri huo watam
Halleluya!
Mume wangu tangu Lino??hapa umezingua jombaaMumeo
Simuoni
Kuna pahala nitasinzia jioni hii
Mkuje tunywe balimi
Tena tumbua inanukia uhalisiahakuna wadada watamu kama wenye 30+, sio wasumbufu, wakomavu akiamua kuwa na wewe ameamua.. ndio kipindi ambacho mwanamke akiamua kutulia na kukupenda ndio icho, ila hivi vidogo dogo mmh!![]()
UnavyokataaMume wangu tangu Lino??hapa umezingua jombaa