Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 72,016 Reaction score 177,326 Jan 4, 2022 #132,241 cocastic said: Unataka umbo la chicken chicks? Click to expand... Weee nilinenepa mpaka nikajiogopa nilikua naelekea 80 kgs mwanamke hapana hapana!! Nguo zote zakuongeza niliongeza mpka mwisho zisizoongezeka niligawa mweh!! Saivi nimepungua sana nanguo zinanitosha fresh sema kakitambi fulani ndo hakataki kuondoka!!
cocastic said: Unataka umbo la chicken chicks? Click to expand... Weee nilinenepa mpaka nikajiogopa nilikua naelekea 80 kgs mwanamke hapana hapana!! Nguo zote zakuongeza niliongeza mpka mwisho zisizoongezeka niligawa mweh!! Saivi nimepungua sana nanguo zinanitosha fresh sema kakitambi fulani ndo hakataki kuondoka!!
Extrovert JF-Expert Member Joined Feb 29, 2016 Posts 72,173 Reaction score 190,748 Jan 4, 2022 #132,242 Kijana wa hovyo hovyo said: Mzee usinitoe mchezoni 😂😂😂😂😂 sishawishiki hata kidogo Click to expand... Hahahahahah kijana wa hovyo unaweza ukafanya mambo ya hovyo mwaka bado mpya huu!😅 Hebu tuuache usogee!
Kijana wa hovyo hovyo said: Mzee usinitoe mchezoni 😂😂😂😂😂 sishawishiki hata kidogo Click to expand... Hahahahahah kijana wa hovyo unaweza ukafanya mambo ya hovyo mwaka bado mpya huu!😅 Hebu tuuache usogee!
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 72,016 Reaction score 177,326 Jan 4, 2022 #132,243 Kijana wa hovyo hovyo said: leo nimpa block boss kwa mala ya kwanzaa napataje raha hapa 😂😂😂 Click to expand... 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kijana wa hovyo hovyo said: leo nimpa block boss kwa mala ya kwanzaa napataje raha hapa 😂😂😂 Click to expand... 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nyani Mzee Snr JF-Expert Member Joined Feb 4, 2021 Posts 12,122 Reaction score 42,761 Jan 4, 2022 #132,244 Extrovert said: Hahahahahah kijana wa hovyo unaweza ukafanya mambo ya hovyo mwaka bado mpya huu!😅 Hebu tuuache usogee! Click to expand... yaani dah! Leo ndio kwanza siku ya nne 😂😂😂😂 nina safari ndefu sana
Extrovert said: Hahahahahah kijana wa hovyo unaweza ukafanya mambo ya hovyo mwaka bado mpya huu!😅 Hebu tuuache usogee! Click to expand... yaani dah! Leo ndio kwanza siku ya nne 😂😂😂😂 nina safari ndefu sana
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Jan 4, 2022 #132,245 Kijana wa hovyo hovyo said: Mie ndio kiongozi wao sasa Click to expand... usnambie? Waambie hao watu wako wapunguze u hovyo hovyo, mie cna hamu kabisa kule.
Kijana wa hovyo hovyo said: Mie ndio kiongozi wao sasa Click to expand... usnambie? Waambie hao watu wako wapunguze u hovyo hovyo, mie cna hamu kabisa kule.
Extrovert JF-Expert Member Joined Feb 29, 2016 Posts 72,173 Reaction score 190,748 Jan 4, 2022 #132,246 mahondaw said: Weee nilinenepa mpaka nikajiogopa nilikua naelekea 80 kgs mwanamke hapana hapana!! Nguo zote zakuongeza niliongeza mpka mwisho zisizoongezeka niligawa mweh!! Saivi nimepungua sana nanguo zinanitosha fresh sema kakitambi fulani ndo hakataki kuondoka!! Click to expand... Huo unene ndio sukari yetu wajuba usijipunguze sana shauli lako😅 Wema anajutia maamuzi yake kila anavyopumua now😅
mahondaw said: Weee nilinenepa mpaka nikajiogopa nilikua naelekea 80 kgs mwanamke hapana hapana!! Nguo zote zakuongeza niliongeza mpka mwisho zisizoongezeka niligawa mweh!! Saivi nimepungua sana nanguo zinanitosha fresh sema kakitambi fulani ndo hakataki kuondoka!! Click to expand... Huo unene ndio sukari yetu wajuba usijipunguze sana shauli lako😅 Wema anajutia maamuzi yake kila anavyopumua now😅
Nyani Mzee Snr JF-Expert Member Joined Feb 4, 2021 Posts 12,122 Reaction score 42,761 Jan 4, 2022 #132,247 cocastic said: usnambie? Waambie hao watu wako wapunguze u hovyo hovyo, mie cna hamu kabisa kule. Click to expand... Ndio kazi yetu, tunapunguzaje.. mnataka tule njaaaa 😂😂😂
cocastic said: usnambie? Waambie hao watu wako wapunguze u hovyo hovyo, mie cna hamu kabisa kule. Click to expand... Ndio kazi yetu, tunapunguzaje.. mnataka tule njaaaa 😂😂😂
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 72,016 Reaction score 177,326 Jan 4, 2022 #132,248 Kijana wa hovyo hovyo said: Umeona huyu kijana wa hovyo hovyo alivyo mpuuzi eeh 😂😂😂View attachment 2068201 Click to expand... Waoohhh! Hapo ukizishevu zibakie ndogo za kuchoma choma na kutekenya zinapendeza sana!
Kijana wa hovyo hovyo said: Umeona huyu kijana wa hovyo hovyo alivyo mpuuzi eeh 😂😂😂View attachment 2068201 Click to expand... Waoohhh! Hapo ukizishevu zibakie ndogo za kuchoma choma na kutekenya zinapendeza sana!
Nyani Mzee Snr JF-Expert Member Joined Feb 4, 2021 Posts 12,122 Reaction score 42,761 Jan 4, 2022 #132,249 mahondaw said: Waoohhh! Hapo ukizishevu zibakie ndogo za kuchoma choma na kutekenya zinapendeza sana! Click to expand... 😊😊😊😊 mtekenyo kwenye kitovu eeeh kha! ivi nimekuaje mie aseee 😆😆 shwaaa kama nyoka mdogo mdogo
mahondaw said: Waoohhh! Hapo ukizishevu zibakie ndogo za kuchoma choma na kutekenya zinapendeza sana! Click to expand... 😊😊😊😊 mtekenyo kwenye kitovu eeeh kha! ivi nimekuaje mie aseee 😆😆 shwaaa kama nyoka mdogo mdogo
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Jan 4, 2022 #132,250 Kijana wa hovyo hovyo said: Umeona huyu kijana wa hovyo hovyo alivyo mpuuzi eeh View attachment 2068201 Click to expand... Jamani hebu nipumzishe kwani, mbna naona uvumilivu Unataka kunishinda, ntajikuta nafanya tofauti na malengo yangu. Uwiiiiiih
Kijana wa hovyo hovyo said: Umeona huyu kijana wa hovyo hovyo alivyo mpuuzi eeh View attachment 2068201 Click to expand... Jamani hebu nipumzishe kwani, mbna naona uvumilivu Unataka kunishinda, ntajikuta nafanya tofauti na malengo yangu. Uwiiiiiih
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 72,016 Reaction score 177,326 Jan 4, 2022 #132,251 Extrovert said: Huo unene ndio sukari yetu wajuba usijipunguze sana shauli lako😅 Wema anajutia maamuzi yake kila anavyopumua now😅 Click to expand... Kwa zile kilo hata nikitembea kidogo nilikua nasweaaaattttt dah! Kupungua sana kama wema hapana hao macelebrity mambo yao tuwaachie wenyewe haha!
Extrovert said: Huo unene ndio sukari yetu wajuba usijipunguze sana shauli lako😅 Wema anajutia maamuzi yake kila anavyopumua now😅 Click to expand... Kwa zile kilo hata nikitembea kidogo nilikua nasweaaaattttt dah! Kupungua sana kama wema hapana hao macelebrity mambo yao tuwaachie wenyewe haha!
Nyani Mzee Snr JF-Expert Member Joined Feb 4, 2021 Posts 12,122 Reaction score 42,761 Jan 4, 2022 #132,252 cocastic said: Jamani hebu nipumzishe kwani, mbna naona uvumilivu Unataka kunishinda, ntajikuta nafanya tofauti na malengo yangu. Uwiiiiiih Click to expand... 😂😂😂😂 na wewe una malengo ya kumaliza 2022 bila bila
cocastic said: Jamani hebu nipumzishe kwani, mbna naona uvumilivu Unataka kunishinda, ntajikuta nafanya tofauti na malengo yangu. Uwiiiiiih Click to expand... 😂😂😂😂 na wewe una malengo ya kumaliza 2022 bila bila
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 72,016 Reaction score 177,326 Jan 4, 2022 #132,253 cocastic said: Jamani hebu nipumzishe kwani, mbna naona uvumilivu Unataka kunishinda, ntajikuta nafanya tofauti na malengo yangu. Uwiiiiiih Click to expand... Wee una malengo kijana nae ana malengo weuweeeeee!🤸🚶🚶🚶🚶
cocastic said: Jamani hebu nipumzishe kwani, mbna naona uvumilivu Unataka kunishinda, ntajikuta nafanya tofauti na malengo yangu. Uwiiiiiih Click to expand... Wee una malengo kijana nae ana malengo weuweeeeee!🤸🚶🚶🚶🚶
Wigelekelo JF-Expert Member Joined Sep 2, 2018 Posts 8,765 Reaction score 26,901 Jan 4, 2022 #132,254 Chakorii said: Kwani @wagelekelo analizungumziaje hilo Click to expand... Ni kwamba Extrovert Anakojoa pazuri
Chakorii said: Kwani @wagelekelo analizungumziaje hilo Click to expand... Ni kwamba Extrovert Anakojoa pazuri
Wigelekelo JF-Expert Member Joined Sep 2, 2018 Posts 8,765 Reaction score 26,901 Jan 4, 2022 #132,255 Kijana wa hovyo hovyo said: Ndugu yangu, hali. ilivyo unaiona nitatoboa nikiwa hoi sana Click to expand... Hutoboi Nakwambia
Kijana wa hovyo hovyo said: Ndugu yangu, hali. ilivyo unaiona nitatoboa nikiwa hoi sana Click to expand... Hutoboi Nakwambia
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Jan 4, 2022 #132,256 mahondaw said: Weee nilinenepa mpaka nikajiogopa nilikua naelekea 80 kgs mwanamke hapana hapana!! Nguo zote zakuongeza niliongeza mpka mwisho zisizoongezeka niligawa mweh!! Saivi nimepungua sana nanguo zinanitosha fresh sema kakitambi fulani ndo hakataki kuondoka!! Click to expand... Afadhari bhana uwe kipotable kuhus kakitambi kaache ka kufutia I4n 3
mahondaw said: Weee nilinenepa mpaka nikajiogopa nilikua naelekea 80 kgs mwanamke hapana hapana!! Nguo zote zakuongeza niliongeza mpka mwisho zisizoongezeka niligawa mweh!! Saivi nimepungua sana nanguo zinanitosha fresh sema kakitambi fulani ndo hakataki kuondoka!! Click to expand... Afadhari bhana uwe kipotable kuhus kakitambi kaache ka kufutia I4n 3
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 72,016 Reaction score 177,326 Jan 4, 2022 #132,257 cocastic said: Unataka umbo la chicken chicks? Click to expand... Unene sana sio shoo!!
Nyani Mzee Snr JF-Expert Member Joined Feb 4, 2021 Posts 12,122 Reaction score 42,761 Jan 4, 2022 #132,258 Wigelekelo said: Hutoboi Nakwambia Click to expand... Na mie sioni dalili naona hali ni mbaya.. sanaa😂😂😂
Wigelekelo said: Hutoboi Nakwambia Click to expand... Na mie sioni dalili naona hali ni mbaya.. sanaa😂😂😂
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 72,016 Reaction score 177,326 Jan 4, 2022 #132,259 cocastic said: Afadhari bhana uwe kipotable kuhus kakitambi kaache ka kufutia I4n 3 Click to expand... Kananiharibia shape haha🤣🤣🤣🤣🤭🤭!! Japo sio sana
cocastic said: Afadhari bhana uwe kipotable kuhus kakitambi kaache ka kufutia I4n 3 Click to expand... Kananiharibia shape haha🤣🤣🤣🤣🤭🤭!! Japo sio sana
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Jan 4, 2022 #132,260 Extrovert said: Huo unene ndio sukari yetu wajuba usijipunguze sana shauli lako Wema anajutia maamuzi yake kila anavyopumua now Click to expand... Wema alikata utumbo yule, Ila wanadamu wanafiki, wao ndo walimshauri apungue kanenepa sana. Leo wanamnanga mweeeeh
Extrovert said: Huo unene ndio sukari yetu wajuba usijipunguze sana shauli lako Wema anajutia maamuzi yake kila anavyopumua now Click to expand... Wema alikata utumbo yule, Ila wanadamu wanafiki, wao ndo walimshauri apungue kanenepa sana. Leo wanamnanga mweeeeh