Hata bila ng'ombe unachukua mradi mkubaliane tu, ila ndio kwa sasa ukae mbali miaka 30 itakuhusu. Wasukuma ( SYB ) ndio rangi zinawatatiza sana, na wewe wa kanda ya Ziwa mkuu?
Hata bila ng'ombe unachukua mradi mkubaliane tu, ila ndio kwa sasa ukae mbali miaka 30 itakuhusu. Wasukuma ( SYB ) ndio rangi zinawatatiza sana, na wewe wa kanda ya Ziwa mkuu?
Hata bila ng'ombe unachukua mradi mkubaliane tu, ila ndio kwa sasa ukae mbali miaka 30 itakuhusu. Wasukuma ( SYB ) ndio rangi zinawatatiza sana, na wewe wa kanda ya Ziwa mkuu?
Nina pongezi za dhati kwa wanao/walio panda Mt. Kilimanjaro😂
Nimepanda ka mlima kadogo tu ndani ya hifadhi ya kisiwa cha saa 8 ilibaki kidogo nikate moto wakati wa kurudi 😂