Heaven Sent
Platinum Member
- Sep 27, 2013
- 32,719
- 98,386
Ewaa
Ukute na lile jicho bado kalitupia vyombo[emoji2356]
Binti sayuniUkiachana na ubovu wa vichwa,,yale madude yananuka vibaya[emoji1784],,harufu yake tu ikanifanya nirudishe chenji[emoji119].
Tuishi kiefeso tu na juice cola.
NasubiriShkamoo wewe madame. Ngoja kidogo nichukue simu yangu nipigie picha.
Haha sawa mpendwaMimi nimeoa leo kwa kweli ngoja ninyamaze tu[emoji3059]
Lile jicho siyo la kupiga vyombo tena.Sio kurembua tena bali linataka kudondoka
Ukiachana na ubovu wa vichwa,,yale madude yananuka vibaya[emoji1784],,harufu yake tu ikanifanya nirudishe chenji[emoji119].
Tuishi kiefeso tu na juice cola.
EwaaNdiyo uhakikishe unazitia nyavuni sasa[emoji23][emoji23]
Lile jicho siyo la kupiga vyombo tena.
Hebu mshauri huyu nkamu.
😁😁😁😁😁 wengine wametoka kuachana sahiii lol! anaanza mwaka singleHakika siyo kazi rahisi.
Ewaa
Namalizia kusoma ile stori yako
Uliyopanda mlima kilimanjaro[emoji23]
Mimi hadi sasa juhudi zimegonga mwamba..Kwa kweli ile harufu hapana. Tuendelee tu kuita nzi mezani (watatuchamba wanywa bia, si unaujua umoja wao)[emoji23][emoji23][emoji23]
Shukrani sister, ulidhani umri umeenda tayali? Haha bado kijana japo umri umeanza kunitupa [emoji3]Pole sana Nige, na ahsante kwa picha. Afu kumbe bado kijana kabisa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mweeh si mngesikia kuna mwana-JF kafia mlima Kilimanjaro; yule ni Heaven On Earth sio mimi Heaven Sent
Manzi ya kiefeso ya agano jipya😂😂😂😂Binti sayuni
Katika ubora wako
Kijana mbichi kabisa🙂Pole sana Nige, na ahsante kwa picha. Afu kumbe bado kijana kabisa
Uwiii🔥🔥🔥
mambo mazuri mazuri hayaMimi hadi sasa juhudi zimegonga mwamba..
Kama pombe zote zina harufu basi zoezi limeshindikana kabisa.
Aliyetupa hela yake kununua akanichamba😂
Tuishi kwenye kuita nzi...rungu za kufuka nzi zipo.