Kuna muda inabidi tu utabasamu hata kama umegubikwa na machozi ya kila aina... 2021 haukuwa mwaka mzuri kwangu... Naendelea kuwaombea wapendwa wangu waliotangulia mbele ya haki!!View attachment 2064046
Kuna muda inabidi tu utabasamu hata kama umegubikwa na machozi ya kila aina... 2021 haukuwa mwaka mzuri kwangu... Naendelea kuwaombea wapendwa wangu waliotangulia mbele ya haki!!View attachment 2064046
😂
Kuna jirani yetu mmoja ni dereva wa hayo magari,ana mke wake na hawajabahatika kupata mtoto tangu tumewajua 2012.
Jamaa yuko happy tu kwake na haonyeshi kunyongo chochote ila hakaliki kwake.
Si ajabu ana michepuko huko nje na ana watoto wengi tu.