Dooooh pole sana Warda na familia nzima. Mungu awatie nguvu na kuwapa faraja yake ya milele; awavushe salama katika kipindi hiki kigumu, awaepushe na mafarakano, asiwapungukie. Poleni sana na baba apumzike kwa amani. To God we belong, and to Him we return.
Mjukuu nini tena jamani? Umepotea hapa tukawa tunataniana kumbe uko katika hekaheka nzito namna hii?
Kama binadamu hatuna la kufanya isipokuwa kumtakia mzee wetu pumziko jema kwa Allah. Naam! Ndiyo mwisho wetu kwa sisi tuliozaliwa. Kila mmoja wetu atarudi kwa Baba kwa ratiba yake aliyopangiwa. Pole sana na Mungu Akupe faraja pamoja na familia yote
Hahaaa!hongera Mimi bado kujichinja kwa soloo!hua nashona vipenseli tu mpk chini...viwili vinatoka au nashona na wasichana wangu wawili baasi!
Nkiwaza pande 3!!!nguo moja wee
Hahaaa!hongera Mimi bado kujichinja kwa soloo!hua nashona vipenseli tu mpk chini...viwili vinatoka au nashona na wasichana wangu wawili baasi!
Nkiwaza pande 3!!!nguo moja wee