Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,415
- 30,132
Mambo ya church...
Kwani nchi inaendeleaje?Niliikumbuka baada ya leo kanisani kuimba wimbo wa TaifaView attachment 2049803





dahMambo ya church...
Kwani nchi inaendeleaje?Niliikumbuka baada ya leo kanisani kuimba wimbo wa TaifaView attachment 2049803





dahIsije kuwa huyo someone ndiyo Mimi Mwenyewe 😜🙈🏃🏃"dada mzuri"umenikumbusha someone
Mwenye macho yake 😂
😃😃 tutaenda milimani kutafuta loshoroo.acha uchoyo bhana dimpoz unigawie,
Kweli wii ntakua chuga, labda ratiba ibadilike,
Tatzo unakuta ratiba inakua nije chugaa mara ghafla inabadilika nibaki dar,c unajua tena vileeee.
Ila this time hata ikibadilka ntalazimisha niwe chuga, ili tukeshe kupiga ulabu usiku wa tar 24.![]()
Kumbe na nyinyi wanawake huwa mnajua Wanaume tunafaidi?😀kuna mtu anafaidi
Hahaha none of the above... Ila sielewagi kwanini huku duniani nafananishwa na wahaya ' ila ni watani tu.Hii miguu mizuri ya kihaya hii...kama sio wachagga
Sent from my SM-N920C using JamiiForums mobile app
Kumbe na nyinyi wanawake huwa mnajua Wanaume tunafaidi?
Ila mwenyewe namwonea wivu anayefaidi hapo kwa kweli![]()
tunajua na tunawaoneaga wivu venye mnafaidi aiseHahaha yani una miguuu saafi saana.Hahaha none of the above... Ila sielewagi kwanini huku duniani nafananishwa na wahaya ' ila ni watani tu.
MmmmmmmmmmhHahaha none of the above... Ila sielewagi kwanini huku duniani nafananishwa na wahaya ' ila ni watani tu.
Hapana siyo yeye 😂
Yatakushinda 😂Mmmmmmmmmmh
🤩
Yatanishinda mara ngapi sasa wakati yashanishinda.....Yatakushinda![]()
Sasa si utulie kama yameshakushinda? 😂Yatanishinda mara ngapi sasa wakati yashanishinda.....
Habari za siku nyingi
tutaenda milimani kutafuta loshoroo.




tenaaah hapo sasa, hahahah loshoroo wee unazipenda sana wiii?