Haha dogo kweli ana miguu mizuri, ila sisi wengine tunavaa basi tu kwa vile hatupendi kubanwa kote kote mapajani na miguuni, japo tuna miguu ya ajabu hatari
Yaani siku hizi story zimekuwa nyingi kweli kwenye huu uzi, mimi ndiyo maana siku hizi huwa sisomi comments nascroll na kulike picha tu then natambaa.
Daah wengi walio karibu yangu wanalalamika kuwa airtel vifurushi viko vizuri ila mtandao ndiyo shida, ndiyo maana bado nakosa imani ya kuingia huko rasmi.
Basi kama ni hivyo bora u-stick to one that works. Although....you could just get one and try it out. Alafu download VPN pia...nyingine zinasaidia kuongeza speed kidogo.
Basi kama ni hivyo bora u-stick to one that works. Although....you could just get one and try it out. Alafu download VPN pia...nyingine zinasaidia kuongeza speed kidogo.
Yes hapo kwenye vpn umenipa wazo zuri. Ngoja nitajaribu tu maana kila nikikuna kichwa nichague wapi kati ya TTCL Tigo au Airtel wazo linaniambia nijaribu Airtel.