Tatizo story nyingi...hata selfie za machale
Mtandao nadhani inategemea sana na eneo. Mie yangu huwa inashika fresh haswa nikiwa home...nilishawahi kutupia speed yangu huwa inashoot mpaka 2Mbs sometimes nikiwa nadownload! So jaribu kuuliza watu waliopo karibu yako....wasipolalamika get yourself one!!!!!!