Selfika na JF: Snap it. Show it

Yaani shoga yangu huwezi amini comments zote hizi hakuna hata mmoja aliyenitumia screenshot ya hivyo vifurushi, kitu ambacho nilikuwa nakihitaji sana! Thank you for your concern Lizzy, na je vipi kuhusu Speed yake ya mtandao?
Tatizo story nyingi...hata selfie za machale πŸ₯΄πŸ₯΄

Mtandao nadhani inategemea sana na eneo. Mie yangu huwa inashika fresh haswa nikiwa home...nilishawahi kutupia speed yangu huwa inashoot mpaka 2Mbs sometimes nikiwa nadownload! So jaribu kuuliza watu waliopo karibu yako....wasipolalamika get yourself one!!!!!!
 
Sisi tutataka mchanganyiko wote huo...

Halafu ELY na mimi ni mdogo wangu pia Shimba..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…